TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,723
- 10,232
- Thread starter
- #21
Oh!safi,inavutia sana.
Oh!safi,inavutia sana.
Mkuu hili ni tofauti na eneo lipo sijui kiwira kuna kuvua na samaki unachoma???
Mimi najitolea kukulinda dhidi ya nyoka na masimba pindi wewe ukiwa umelala ntakuwa pembeni yako
Baada ya kupata mvinyo hyo arena inaenda kuandikwa historia itakayofuta ya mjerumaniView attachment 2888025
Uwanja wa kumpigia makasia, baada ya makasia ya ziwani
We,ndo kisiba?
We,ndo kisiba?
Hakuna burudani nzuri kwenye utalii kama kukutana na nyoka wa aina tofautitofauti, simba hawana mpango zaidi ya ubishoo.Asante kwa taarifa...
Uliposema waterfall ndo umenikamata....
Nikirudi nyumbani wakati wa likizo, ntakuja kutembea niweke kambi walau usiku mmoja.
Mradi tuu kusiwe na nyoka na simba tafadhali hapo penye kulala kempu.....😀.
Nyoka kojoleoHakuna burudani nzuri kwenye utalii kama kukutana na nyoka wa aina tofautitofauti, simba hawana mpango zaidi ya ubishoo.
Aeleweke maana mimi na my wangu wa hunu Jf tunataka tukatalii japo siku 3. Tujue unalala kwa sh? Kula na entertainment zingineMbona uwasilishaji wa mada hapa JF uko nusu nusu sana? Kizazi gani hiki? Weka bei za vingilio watu wajue wanajipanga vipi, sio lazima mpaka uulizwe.
Namuona salt bae
Gharama za kukodi hivyo vi tent sh ngapi?
Si ya kukosaKuzuri sana huko
Ova