BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Mimi naonaga wafanya biashara wa kimasai wanaoishi Arusha huwa wanateseka sana. Hawa mabwana wanaishi kwa matumaini wakitegemea kwamba Lowassa atakuwa Raisi wa nchi hii mwaka 2015.
Kila kukicha anafanya party nyumbani kwake Monduli na hawa wafanya biashara wote wa kimasai inabidi waende. Ole wako usipokwenda kwenye sherehe Monduli.
Leo kuna party kubwa ambayo mpaka sasa inaendelea.
Kila kukicha anafanya party nyumbani kwake Monduli na hawa wafanya biashara wote wa kimasai inabidi waende. Ole wako usipokwenda kwenye sherehe Monduli.
Leo kuna party kubwa ambayo mpaka sasa inaendelea.