Paranoia. . . .

ukimtegemea mtu awe chanzo cha furaha yako lazima paranoia ikupate,yani unapata kama uchizi hivi kila saa kuchungulia chungulia simu kufuatilia vitu vidogo vidogo without knowing kwamba unamchosha mwenzio na kujinyima raha bila sababu, haya mambo yalinicost nimeacha kabisa sitaki kuona message wala simu imepigwa na nani na imenisaidia sana, kwa sababu ukikuta no messages no missed calls ni tatizo,ukikuta message ni tatizo, haina jema hii tabia ni kama kujichimbia shimo lako mwenyewe
 
ukimtegemea mtu awe chanzo cha furaha yako lazima paranoia ikupate,yani unapata kama uchizi hivi kila saa kuchungulia chungulia simu kufuatilia vitu vidogo vidogo without knowing kwamba unamchosha mwenzio na kujinyima raha bila sababu, haya mambo yalinicost nimeacha kabisa sitaki kuona message wala simu imepigwa na nani na imenisaidia sana, kwa sababu ukikuta no messages no missed calls ni tatizo,ukikuta message ni tatizo, haina jema hii tabia ni kama kujichimbia shimo lako mwenyewe

Hongera kwa kugundua kuwa hivyo kunaharibu badala ya kuimarisha mahusiano.
 
Asante,
Kumbe ndo maana nilipata shida kipindi fulani, gf niliekuwa nae alinisumbua kweli hataki kuona hata nasalimiana na any lady,, nikipiga simu home kuongea na dada zangu anataka niweke loud speaker. nikienda kazini ucku anauliza km nitakauwa na nani ofisini km ni binti basi taabu, yaani nilipata shida ndugu zangu, ila baadae aliaanza kunielewa na akapunguza kabisa ila shida ikabaki kwa binti mmoja ambae yeye (bf wangu) alihisi niliwahi kuwa au nina mahusiano nae.
Leo nimeelewa.
Asante sana sana dada kwa uzi huu nakushukuru sana
 
Asante,
Kumbe ndo maana nilipata shida kipindi fulani, gf niliekuwa nae alinisumbua kweli hataki kuona hata nasalimiana na any lady,, nikipiga simu home kuongea na dada zangu anataka niweke loud speaker. nikienda kazini ucku anauliza km nitakauwa na nani ofisini km ni binti basi taabu, yaani nilipata shida ndugu zangu, ila baadae aliaanza kunielewa na akapunguza kabisa ila shida ikabaki kwa binti mmoja ambae yeye (bf wangu) alihisi niliwahi kuwa au nina mahusiano nae.
Leo nimeelewa.
Asante sana sana dada kwa uzi huu nakushukuru sana

Karibu.

So mlikuja kuachana kwasababu hiyo?
 
Paranoia, jamani knowledge za dunia zinachanganya...kwenye critical thinking tunaambiwa tu-question na ku-doubt most...sasa kama mume alikuwa anarudi saa nne,sasa anarudi saa saba nitaepukaje paranoia,coz foleni muda huo haipo na ofisi zimefungwa,ye yuko wapi? Its not easy kweli,and i think many people have this problem....labda tu tutafute namna ya kui-modearate,isiwe chanzo cha migogoro kwenye mahusiano
 
Paranoia, jamani knowledge za dunia zinachanganya...kwenye critical thinking tunaambiwa tu-question na ku-doubt most...sasa kama mume alikuwa anarudi saa nne,sasa anarudi saa saba nitaepukaje paranoia,coz foleni muda huo haipo na ofisi zimefungwa,ye yuko wapi? Its not easy kweli,and i think many people have this problem....labda tu tutafute namna ya kui-modearate,isiwe chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

He used to come home early and now he comes home late and his explanations don't add up. If you question and doubt his stories that's not being paranoid.

That's just being real, practical, and reasonable. If things don't make sense then they just don't make sense.
 
Hapo hautokua umenisababishia paranoia ila umenipa sababu ya kujiuliza kuhusu tabia yako Mbu. Hata kujiuliza mwenzi kwanini amechelewa/alikua wapi muda wote sio kuwa paranoid bali ni kuishi kwenye ulimwengu halisi, huku ukiwa aware of any changes that occurs along the way, REAL changes na sio za kulazimisha.

...hapo penye wekundu, 'suspicious mind' ndio paranoia yenyewe hiyo..persecutory delusions!
 
He used to come home early and now he comes home late and his explanations don't add up. If you question and doubt his stories that's not being paranoid.

That's just being real, practical, and reasonable. If things don't make sense then they just don't make sense.

Thank you, I couldn't have said it better myself.

Watu wanachanganya kuwa paranoid na kuwa kuwa makini au reasonable.

Ukiwa na sababu ambayo ni valid ku-question mwenendo wa mwenzako sio kuwa paranoid.
 
He used to come home early and now he comes home late and his explanations don't add up. If you question and doubt his stories that's not being paranoid.

That's just being real, practical, and reasonable. If things don't make sense then they just don't make sense.

...hahaha, kaka...for the sake of our mental health ni bora kuishia snr bachelors tu...lol!
 
He used to come home early and now he comes home late and his explanations don't add up. If you question and doubt his stories that's not being paranoid.

That's just being real, practical, and reasonable. If things don't make sense then they just don't make sense.

Thank you for explanation.
 
Is there a big difference between Paranoia and Phobia?

Absolutely. . . .
Phobia is being extremly fearful of something, something that does exist though it might not be that scary, while being paranoid involves seing things that aren't there.
 
...hapo penye wekundu, 'suspicious mind' ndio paranoia yenyewe hiyo..persecutory delusions!

Mbu kuwa paranoid ni zaidi ya kuwa na "suspicious mind". . . . yenyewe inavuka mipaka ya kuwa suspicious na kulazimisha vitu visivyokuwepo, kama mtu mmoja alivyochangia hapo juu kuhusu girlfriend aliyetaka mkaka hata akiongea na watu wakwao aweke sauti nae asikie.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Thank you for explanation.

Usiogope kuuliza na kuwa doubtful pale unapokua na sababu ya kufanya hivyo dearest. Hiyo ni haki yako, na usipofanya hivyo utaishia kufanywa mjinga. Just don't turn into one of those people who are constantly thinking they are being cheated even when there are no
signs indicating such thing.
 
Back
Top Bottom