mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
sasa kuwafutia usajiri hawa madaktari kunasaidia vipi kuokoa maisha ya wagonjwa?
Kuwafutia Usajili na kuwashitaki Mahakamani siyo suluhisho la matatizo.
Bado Wananchi Walalhoi tutaendelea kuumia, na sisi tunaofurahia kufutiwa ama kufukuzwa kazi madakitari ni mbumbumbu wa akili, tunashindwa kuelewa kuwa hawa viongozi wa Serikali wakiugua wanakwenda kutibiwa India ambako kuna madakitari wa kutosha, lakini wewe na mimi tutakwenda Mwananyamala, Muhimbili ambako hakuna madakiari.
Washwahili wanasema: "Mafahari wawili wakipigana zinazoumia ni nyasi"
Hapa Mafahari wawili ni Serikali Dhaifu na madakitari.
Nyasi ni sisi Walalahoi.
TAFAKARI KISHA CHUKUA TAHADHARI KABLA ya KUSHABIKIA UJINGA Kwa HATUA ILIYOCHUKULIWA KIBABE.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!