permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,043
- 11,238
Puuzia taarifa za uongo.Huyu mwamba atakuwa wakala wa shetani ndani ya kanisa na kibaya zaidi inaonesha yeye ndio mwenye kauli ya mwisho, ukipingana nae unaenda na maji.
Kanisa limeshakufa, kule ulawiti wa wtatoto watumikiaji, hapa ndoa za jinsia moja kubarikiwa/fungwa kanisani, pale usioe mke zaidi ya mmoja n.k
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app