Panya Road wanatokana na watu kuzaa watoto wasioweza kuwahudumia

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,999
46,826
Dunia ya sasa ili watoto waweze kufikia hali nzuri au za kawaida za kimaisha, waweze kujitegemea kwa kipato halali na kuishi maisha ya staha/"decent life" wanahitaji shule bora, vyuo bora, ajira bora, biashara zao au za wazazi wakimaliza masomo yao.

Bahati mbaya sana wazazi wengi wanazaa watoto wengi ambao hawawezi kuwapatia au kuwaongoza kupata hata robo ya haya mahitaji, matokeo yake wengi wanaangukia katika uhalifu kama huu wa Panya Road na kudanga. Wengine amboa hawapendi matatizo wanaishia kuwa madereva bodaboda na wamachinga wakiishi maisha ya kubangaiza ili mradi siku ipite.

Serikali, mashirika binafsi na raia wenyewe lazima sasa wafanye kampeni na mpango kabambe wa kuhakikisha idadi ya ongezeko la watu inadhibitiwa na raia wa nchi hii has maskini hawazai zaidi ya watoto wawili.

Mnaosema Tanzania ina idadi ndogo ya watu huku ikiwa na rasilimali nyingi hivyo raia wazidi kufyatua tu waonyeshini sasa Panya road hayo mashamba na mapori mnayosema yako wazi, waonyeshini hizo rasilimali ila watu waache kuishi roho juu mitaani mwao.
 
Naked Truth
Firstly most of vijana hawajitambui
Plus Serikali mbovu
Ni kweli kabisa nimejaribu kutembelea nchi kadhaa, aisee Tanzania tuko tofauti sana hasa sisi vijana hatupendi kazi! Mbaya zaidi wengi wetu tunatafsiri kazi ni kuajiriwa na hilo ndio janga linalotutafuna kama nchi! Fursa ni nyingi lakini macho ya kuona hizo fursa ndio changamoto.
 
Ni kweli kabisa nimejaribu kutembelea nchi kadhaa, aisee Tanzania tuko tofauti sana hasa sisi vijana hatupendi kazi! Mbaya zaidi wengi wetu tunatafsiri kazi ni kuajiriwa na hilo ndio janga linalotutafuna kama nchi! Fursa ni nyingi lakini macho ya kuona hizo fursa ndio changamoto.
Na mfumo wa elimu ya Tanzania upo shimoni kabisa ndio maana unakuta kijana amemaliza chuo kikuu hawezi hata kufikiri kujitegemea kwa kuanzisha njia ya kumuingizia kipato!
 
Kweli kabisa unakuta wazazi wa watoto hawana mishe yoyote
Mwanamke kazaa watoto 4 kila mtoto na baba yake,watoto wenyewe hawawajui wazaz
Mama kutwa kushinda kwenye vigodoro na singeli tu
Watoto wanakuwa kwa kujilea wenyewe,kimkandakanda tu
Sasa mtoto afikishe miaka 12 lazima awe nunda tu
Mtoto hajuwi shule wala uniform ilivyo
Ajira 1 inayomjia kichwani mtoto huyo ni bodaboda tu

Ova
 
Sasa wewe baba yako wa uswahilini mwenye elimu ya darasa la saba anashinda kwenye vijiwe vya kahawa akibishana Simba na Yanga huku ana watoto tisa kwa mama watatu tofauti atapata wapi hata hizo akili za ufisadi kama wenzake.
Nyie watoto wanasiasa baba zenu wameiba pesa serkalini mafisadi wa kutupwa nyie acheni dharau

Nje ya siasa si ajabu mngekuwa majambazi
 
Dunia ya sasa ili watoto waweze kufikia hali nzuri au za kawaida za kimaisha, waweze kujitegemea kwa kipato halali na kuishi maisha ya staha/"decent life" wanahitaji shule bora, vyuo bora, ajira bora, biashara zao au za wazazi wakimaliza masomo yao.

Bahati mbaya sana wazazi wengi wanazaa watoto wengi ambao hawawezi kuwapatia au kuwaongoza kupata hata robo ya haya mahitaji, matokeo yake wengi wanaangukia katika uhalifu kama huu wa panya road na kudanga. Wengine amboa hawapendi matatizo wanaishia kuwa madereva bodaboda na wamachinga wakiishi maisha ya kubangaiza ili mradi siku ipite.

Serikali, mashirika binafsi na raia wenyewe lazima sasa wafanye kampeni na mpango kabambe wa kuhakikisha idadi ya ongezeko la watu inadhibitiwa na raia wa nchi hii has maskini hawazai zaidi ya watoto wawili.

Mnaosema Tanzania ina idadi ndogo ya watu huku ikiwa na rasilimali nyingi hivyo raia wazidi kufyatua tu waonyeshini sasa Panya road hayo mashamba na mapori mnayosema yako wazi, waonyeshini hizo rasilimali ila watu waache kuishi roho juu mitaani mwao.
Umeandika Ukweli mtupu.

Watu weusi wana Ujinga na Laana na hivyo kuendelea kwao kama races zingine kutachukua miaka mingi sana au wasifanikiwe kabisa

Kazi kuzaa tu bila mpangilio wala mpango, hatimaye kuja kutesa Watoto duniani.
 
Watu wengi wazima walikulia kwenye umaskini, kwa kuwa walipata MALEZI MAZURI YA FAMILIA
 
Dunia ya sasa ili watoto waweze kufikia hali nzuri au za kawaida za kimaisha, waweze kujitegemea kwa kipato halali na kuishi maisha ya staha/"decent life" wanahitaji shule bora, vyuo bora, ajira bora, biashara zao au za wazazi wakimaliza masomo yao.

Bahati mbaya sana wazazi wengi wanazaa watoto wengi ambao hawawezi kuwapatia au kuwaongoza kupata hata robo ya haya mahitaji, matokeo yake wengi wanaangukia katika uhalifu kama huu wa panya road na kudanga. Wengine amboa hawapendi matatizo wanaishia kuwa madereva bodaboda na wamachinga wakiishi maisha ya kubangaiza ili mradi siku ipite.

Serikali, mashirika binafsi na raia wenyewe lazima sasa wafanye kampeni na mpango kabambe wa kuhakikisha idadi ya ongezeko la watu inadhibitiwa na raia wa nchi hii has maskini hawazai zaidi ya watoto wawili.

Mnaosema Tanzania ina idadi ndogo ya watu huku ikiwa na rasilimali nyingi hivyo raia wazidi kufyatua tu waonyeshini sasa Panya road hayo mashamba na mapori mnayosema yako wazi, waonyeshini hizo rasilimali ila watu waache kuishi roho juu mitaani mwao.
huu uzi nimeusoma mara tano, mtoa uzi Mungu akubariki.
 
Dunia ya sasa ili watoto waweze kufikia hali nzuri au za kawaida za kimaisha, waweze kujitegemea kwa kipato halali na kuishi maisha ya staha/"decent life" wanahitaji shule bora, vyuo bora, ajira bora, biashara zao au za wazazi wakimaliza masomo yao.

Bahati mbaya sana wazazi wengi wanazaa watoto wengi ambao hawawezi kuwapatia au kuwaongoza kupata hata robo ya haya mahitaji, matokeo yake wengi wanaangukia katika uhalifu kama huu wa panya road na kudanga. Wengine amboa hawapendi matatizo wanaishia kuwa madereva bodaboda na wamachinga wakiishi maisha ya kubangaiza ili mradi siku ipite.

Serikali, mashirika binafsi na raia wenyewe lazima sasa wafanye kampeni na mpango kabambe wa kuhakikisha idadi ya ongezeko la watu inadhibitiwa na raia wa nchi hii has maskini hawazai zaidi ya watoto wawili.

Mnaosema Tanzania ina idadi ndogo ya watu huku ikiwa na rasilimali nyingi hivyo raia wazidi kufyatua tu waonyeshini sasa Panya road hayo mashamba na mapori mnayosema yako wazi, waonyeshini hizo rasilimali ila watu waache kuishi roho juu mitaani mwao.
Bad parenting and economic hardship
 
Mnaosema Tanzania ina idadi ndogo ya watu huku ikiwa na rasilimali nyingi hivyo raia wazidi kufyatua tu waonyeshini sasa Panya road hayo mashamba na mapori mnayosema yako wazi, waonyeshini hizo rasilimali ila watu waache kuishi roho juu mitaani mwao.
Ni SERIKALI ya CCM ndio inayosababisha haya, depression ni kubwa sana plus disappointment 😥
 
Back
Top Bottom