General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,118
- 2,288
Nawaza tuu JPM angekuwepo na Makonda wake...
Dadeki hii safu tutaimisi sanaa hiki kizazi.
Maana mpaka kina Manji walinyooshwa wakanyooka mpaka sasa sijui wako wapi.
Broo Makonda aliikamata Dar ikakamatika.
Mpaka wabunge walitaka kulia kuskia kuitwa wazururaji kama wazururaji wengine ha..
Na miss sanaa na hisi Dar haijapata mwenyewe kama mwenye Dar yake kama Paul Makonda.
Kijana wa koromije.
Dadeki hii safu tutaimisi sanaa hiki kizazi.
Maana mpaka kina Manji walinyooshwa wakanyooka mpaka sasa sijui wako wapi.
Broo Makonda aliikamata Dar ikakamatika.
Mpaka wabunge walitaka kulia kuskia kuitwa wazururaji kama wazururaji wengine ha..
Na miss sanaa na hisi Dar haijapata mwenyewe kama mwenye Dar yake kama Paul Makonda.
Kijana wa koromije.