Panya Road waiba na kujeruhi Kilungule Mbagala

Nawaza tuu JPM angekuwepo na Makonda wake...
Dadeki hii safu tutaimisi sanaa hiki kizazi.

Maana mpaka kina Manji walinyooshwa wakanyooka mpaka sasa sijui wako wapi.
Broo Makonda aliikamata Dar ikakamatika.
Mpaka wabunge walitaka kulia kuskia kuitwa wazururaji kama wazururaji wengine ha..

Na miss sanaa na hisi Dar haijapata mwenyewe kama mwenye Dar yake kama Paul Makonda.
Kijana wa koromije.
 
Hawa vijana wa kuitwa panyard ni watoto wetu, ndugu zetu, jirani zetu nk

Tusipowathibiti hawa panyaroad tutazalisha kundi haramu kama mungiki

Na natamani hawa vijana wakamatwe kisha watoe taarifa kuhusu mikoa, wilaya, mitaa familia walimotokea, wazazi baba na mama n.k

Hawa vijana walizaliwa sawa tuu kama watoto wengine ila kwa wingi wao katika matukio ya uhalifu lazima kuna sehemu sisi tuliowaleta duniani na jamii kwa ujumla tunakosea

Tuanze kwa kuwatafuta mababa na wamama, wajomba, mashangazi, bibi na babu wa hawa panyaroad tunaweza tukapata chanzo na suluhu ya kudumu.
Yani kosa la mtoto akashtakiwe Baba au mama ?

Hao kamata piga Shaba kazi Kwisha. Haiwezekan wewe unakata wenzako mapanga halafu ukikamatwa watafutwe Baba na mama zako. Ukitaka kuua na wewe uuliwe. Full stop.

Msituletee hadithi za Alinacha hapa.

Ua na wewe uuawe.


Police acheni wafanye KAZI Yao.
 
Hutasikia wamekanyaga kigambo afande khamis aunawafanyaga vibaya
 
Tatizo ni
Jamii
Hii ndo huwalea, inawajua kabisa, inajua magenge yote ya bangi, haina ushirikiano na polisi,

Wanasiasa na wanaharakati

Panyaroad wakiumiza watu wanasiasa wataongea ili serikali ionekane vibaya, Wanaharakati watakuwa kimyaaa

Panyaroad wakiumizwa, wanaharakati wanasema haki za binadamu hazijafuatwa, wanasiasa nao watasema haki haijatendeka

Polisi

Lawama zatupiwa polisi ila polisi kisheria sio mahakama, yeye kazi yake kukamata tu, wengi wao ni watoto wadogo, hivyo inakuwa kazi kuwatunza polisi au magerezani
 
Afu si kuna gari la polisi lilizuiliwa lisipite mwendo kasi! Nasikia lilikuw linawahi kuzuia panya road wasivamie watu wa mbagala
 
Hili si swala la kusubiri Polisi au Mgambo,ni swala la kila Mwananchi kushiriki katika Ulinzi shirikishi! Polisi na mgambo hawatoshi kabisa.Isitoshe huenda waharifu wanakaa katika makazi yetu msako ufanyike kubaini watu hao.
 
Safi sana, twende mwendo huu huu hadi Katiba Mpya ipatikane.
 
Atokee sniper mmoja tu awamalize kimya kimya itapendeza wanatia hasara sana na kuumiza familia za watu kwa vifo,ulemavu,umaskini
 
Kaka Mshana Jr ebu sema neno kidogo, a new MKIRU project is on its way for reformation. One day this country with flagship project mithili ya a new bokoharam.

Tanzania is the next Nigeria in the making, Magufuli alikwepesha mpango wao ukaenda Msumbiji ila lengo ni Tanzania.

Tuombe heri ya kuishi kwingi tushudie neema na madhira ya ndoto yakitamalaki.
 
Nawaza tuu JPM angekuwepo na Makonda wake...
Dadeki hii safu tutaimisi sanaa hiki kizazi.

Maana mpaka kina Manji walinyooshwa wakanyooka mpaka sasa sijui wako wapi.
Broo Makonda aliikamata Dar ikakamatika.
Mpaka wabunge walitaka kulia kuskia kuitwa wazururaji kama wazururaji wengine ha..

Na miss sanaa na hisi Dar haijapata mwenyewe kama mwenye Dar yake kama Paul Makonda.
Kijana wa koromije.
Yule alikuwa miongoni mwa vijana weny uthubutu mkubwa na haiba ya uongozi maana anajiamini..
Ndo inavyotakiwa kama unaingiza watu wa aina tofauti wasomi na vilaza ,watu wa rika tofauti basi ujiamini kama makonda.
 
Ni kweli. Chimbuko la vitendo vya hawa watoto vinaanzia majumbani. Utakuta mtoto wa miaka 12 hajulikani anashinda wapi, analala wapi na anakula nini. Na mzazi hata habari hana, Cha zaidi akionana na mwanae anamuomba na pesa kabisa.
Ikitokea kila mzazi/mlezi akachukuwa jukumu lake la ulezi kwa umakini uhalifu mwingi utapungua.
Sasa watoto sahv kutwa wako kwenye matamasha ya wasanii na masingeli,na kwenye makamali

Ova
 
Yaani serikali itusaidie kwakweli wanaume wa dar tumekuwa hatuna amani kisa hivi vitoto yaani sahivi nimehamishia kopo la kukojolea ndani kwangu
Naogopa kutoka nje usiku

Yaani hata kuangalia tamthilia usiku nashindwa naogopa wasije sikia sauti

Piga kelele kwa polisi wake weuweeee

Eti shoga angu mawardat kuna tamthilia gani nzuri sahivi
Hahahaha hahahaha

Naona mwanangu u angalau na kupuliza,unangogaa huko unazomea


Ova
 
Tatizo ni
Jamii
Hii ndo huwalea, inawajua kabisa, inajua magenge yote ya bangi, haina ushirikiano na polisi,

Wanasiasa na wanaharakati

Panyaroad wakiumiza watu wanasiasa wataongea ili serikali ionekane vibaya, Wanaharakati watakuwa kimyaaa

Panyaroad wakiumizwa, wanaharakati wanasema haki za binadamu hazijafuatwa, wanasiasa nao watasema haki haijatendeka

Polisi

Lawama zatupiwa polisi ila polisi kisheria sio mahakama, yeye kazi yake kukamata tu, wengi wao ni watoto wadogo, hivyo inakuwa kazi kuwatunza polisi au magerezani
Kuwa siriasi kidogo Yani polisi ifikirie jinsi ya kuwatunza watoto panyard anbao Kila siku wanaua na kujeruhi watu
 
Back
Top Bottom