asilimia kubwa ya watanzania wangependa sana kumuona slaa akirudi tena bungeni.ila kamwe jk hatojaribu wala hata kufiria kumteua huyo shujaa eti arudi abungeni tena akaendelee kumvua nguo. Hapo ndo pabaya kwamba kisiasa silaa atunaye tena. Ila naamini lazima kwa hawa mashujaa wapya wanaoingia atatokea tu mmoja kama cyo wote wa kumrithi dk wa ukweli. Mungu bariki slaa,mungu bariki chadema.mungu bariki tanzania.
Ferds, huna haja ya kutukana watu wehu, kuwa spika sio lazima uwe mwanasheria, Chifu Adam Sapi Mkwawa hakuwa mwanasheria, Pius Msekwa hakuwa mwanasheria, Getrude Mongela wa Spika wa Bunge la Afrika, sio mwanasheria na Abrahman Kinana, aliyekuwa spika wa Bunge la Afrika Mashariki, ambaye ndio anayekuja kuwa spika wa sasa, sio mwanasheria, imetokea tuu kwa spika Stta ndiye mwanasheria.