DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Labda huko hakuna wapiga kura Wamasai na Lowassa asiende. Lakini kama kuna wamasai, unajuwa Laibon wao nani? na akisema kitu huyo hapingwi.
Kwani Arusha mjini hakuna wamasai? Mbona kimada wa huyo Laibon alibwagwa vibaya.