Tungepata watu kama mia hivi wanaohamini maneno haya ya Kamanda Lema nchi ingekuwa imenyooka muda mrefu sana.Mimi natafuta nafasi hapa ofisini,nitakuwa na wapambanaji hata kwa siku moja kule Arumeru Mashariki,naamini kwa hakika wakati huu haki itashinda dhidi ya hujuma,udhalimu,ubadhirifu,uuaji,ufirauni,ushenzi,ujambazi,upumbavu,ujinga,ulaghai,ushetani,ujoka,uhafidhina nk ya CCM...
Mungu Ibariki Tanzania,Mungu Ibariki Arumeru Mashariki ,Mungu Ibariki CHADEMA,
Ni kweli mkuu umenena.