Pamoja na kutakiwa kujiuzulu; Ngeleja agoma...

hawezi kukatalia malipo ya mkubwa wake,hata yeye nahisi ameliona changa la macho ila atafanyeje sasa.
 
Ngeleja anatengeneza mbinu za kukwepa kuhudhuria bunge la Febr 2011-kwa msimamo wa wabunge wa sisiemu, Ngeleja ajiuzulu mapema kabla ya kuzomewa wabunge wa chama chake sisiemu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hawa wa2 ni kuwanyima kura 2,me nawaza yan hpa ndo kwnz tunaanza awamu ya 2 ya JK,mambo ni mabaya na mabovu km haya!cjui km cabinet hii nayo itatek ol 5 yrz...!ngeleja kuficha uso co kaz xana km kwa mh prezoo

Kide, please tumia maneno yanayoeleweka, hizi lugha za kwenye text messages za simu sio nzuri kuzitumia hapa JF, huna limit ya characters hapa so please usituharibie lugha yetu nzuri ya kiswahili. This shows that kuna wanafunzi wa sekondari humu JF, loh!!

Ngeleja alikuwa anafanya kazi Vodacom, kutokea hapo akawa Mbunge, na muda si mrefu akawa full minister. Nimefanya kazi na huyu bwana huko nyuma, he is a good guy, but he is not that smart kuweza kupewa full portfolio kwa muda mfupi kiasi hicho. Huwezi kumlinganisha na mtu kama Mwakyembe, but cha ajabu amepewa Full cabinet position, and that is why watu wanajiuliza JK alikuwa anafikiria nini. Ngeleja ni mwanasheria by profession, hana idea na madini wala umeme, why the hell he is there? alimuangusha mbunge wa zamani na mzoefu Dr William Shija, so guys you do the math!!! Ni mpango uliosukwa. Sijui kwa nini JK ameshindwa kujitoa kwenye kucha za RA, infact RA nadhani sasa yupo kwenye strategy ya kumuandaa Raisi wa 2015, JK keshamalizana naye, loh!!!

But one thing for sure, Watanzania waliona nini kwa JK, Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu wa CCM waliona nini kwa JK? Why did he got elected in the first place, hakuwahi kufanya anything big kwa nchi hii kumpa dhima hiyo. So sisi tulioona mbali mwaka 2005 na kumpa kura yetu Mheshimiwa Mbowe, japo tulijua kuwa hatoshinda, dhamira zetu ziko swaafi sana, hatujashiriki dhambi hii ya kidhalimu kumchagua JK ambaye kweli ameshindwa kukidhi kiu ya watanzania wengi waliokuwa na imani naye na wanaoogelea kwenye umasikini mkubwa na wa kutupwa. Historia itamsuta ndugu huyu for the rest of his life. Kashfa ya EPA, Deep Green, Meremeta, DOWANS/RICHOMD, Uchaguzi wa 2010, mauaji ya Arusha etc, loh. Aone mwenzake Ben anavyosutika kwa kashfa ya kuuza nyumba za serekali. Ben hana raha, anajificha, amekosa mvuto, he is not a statemen, pitty!!!
 
Writings are already on the walls for him, his boss Rostam Aziz and the entire FISADI syndicate bench and with a resounding shame down the memory lane on their shadows for their entire lives in the history of our country.

Dowans gerimandaring is permanently sealed by Nguvu ya Umma, and not even Werema, Rostam Aziz or Nimrod Mkono can possibly help in reversing the process at this point in time.

Our resovle is by each day stronger than ever before na ndio maana kwa pamoja Watanzania tunasema 'UFISADI TOKA' ili wananchi tuanze tena kupata maendeleo na ahueni ya maisha.

UFISADI TOKA!!!!!
 
Hii n Aibu ilochanganyikana na ushenzi.

Wazungu walitufanya kwa miaka mingi wakapumzika sasa wanatufanya tena kwa ridhaa yetu.
Waarabu nao walitufanya sana kwa miaka kibao kuna wakati waliacha sasa wamerudi na moto wanatufanya kwa tamaa yetu wenyewe.

Watatufanya mpaka lini??
 
Wa kujiuzulu si ngeleja pekee bali Serikali yote ya Kikwete. Katika Serikali hiyo waliotoa kauli ili kutetea maslahi ya Watanzania ni Sitta na Mwakyembe tu.
 
He is assisting his boss RA. Fisadi ni fisadi tu. Hawezi kuona aibu hata siku moja.

This sums up the whole debate! The guy is immensely interested and you can even see how forceful he is trying to argue and yet nothing of substance comes out. He has not been able to answer the very basic question that every Tanzanian is asking! WHO IS BEHIND DOWANS?
 
Ujasiri wa kifisadi, sasa hivi simsikii wa kumuona sijui what's happening torture huwa inaanza taratibu
 
I will one day kill one of the fisadi to make tanzanians happy shiiiiiiiiiiiiiiit. Preident na mawaziri wanaochekacheka siwapendi hata kidogo. Wanachekacheka wakati wanaona raslimali za nchi zinaibiwa aaaaaaagh!!!!!!!!!!!!
 
s6300023.jpg

Bado kuna wananchi mpaka leo hawaamini kuna wizara hatari sana kwa Taifa letu. Huyu Ngereja tunafikiri anafanya kazi kwa manufaa ya wananchi. Kitu gani kinamsukuma raia kama Ngereja kuharakisha kuwalipa Dowans akijua Taifa karibu zima lina pinga "wizi wa namna hii? Kama sio Ubeberru nini...Wananchi tumesha sema Hatutaki na Alipwi Mtu Hapa. Tumechoka kuongozwa kwa Nguvu na kwa siri. Kinachofanya serikali kuongoza Taifa la wananchi milioni 42 kwa kutumia maamuzi ya siri nini? Tunataka kuonenyeshwa details zote za mkataba wa Tanesco na Dowans na pia Richmond. Bunge lazima lijadili na Wananchi tusiache kujadili haya maafa...Mungu yupo Upande wetu.
 
Kide, please tumia maneno yanayoeleweka, hizi lugha za kwenye text messages za simu sio nzuri kuzitumia hapa JF, huna limit ya characters hapa so please usituharibie lugha yetu nzuri ya kiswahili. This shows that kuna wanafunzi wa sekondari humu JF, loh!!

Ngeleja alikuwa anafanya kazi Vodacom, kutokea hapo akawa Mbunge, na muda si mrefu akawa full minister. Nimefanya kazi na huyu bwana huko nyuma, he is a good guy, but he is not that smart kuweza kupewa full portfolio kwa muda mfupi kiasi hicho. Huwezi kumlinganisha na mtu kama Mwakyembe, but cha ajabu amepewa Full cabinet position, and that is why watu wanajiuliza JK alikuwa anafikiria nini. Ngeleja ni mwanasheria by profession, hana idea na madini wala umeme, why the hell he is there? alimuangusha mbunge wa zamani na mzoefu Dr William Shija, so guys you do the math!!! Ni mpango uliosukwa. Sijui kwa nini JK ameshindwa kujitoa kwenye kucha za RA, infact RA nadhani sasa yupo kwenye strategy ya kumuandaa Raisi wa 2015, JK keshamalizana naye, loh!!!

But one thing for sure, Watanzania waliona nini kwa JK, Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu wa CCM waliona nini kwa JK? Why did he got elected in the first place, hakuwahi kufanya anything big kwa nchi hii kumpa dhima hiyo. So sisi tulioona mbali mwaka 2005 na kumpa kura yetu Mheshimiwa Mbowe, japo tulijua kuwa hatoshinda, dhamira zetu ziko swaafi sana, hatujashiriki dhambi hii ya kidhalimu kumchagua JK ambaye kweli ameshindwa kukidhi kiu ya watanzania wengi waliokuwa na imani naye na wanaoogelea kwenye umasikini mkubwa na wa kutupwa. Historia itamsuta ndugu huyu for the rest of his life. Kashfa ya EPA, Deep Green, Meremeta, DOWANS/RICHOMD, Uchaguzi wa 2010, mauaji ya Arusha etc, loh. Aone mwenzake Ben anavyosutika kwa kashfa ya kuuza nyumba za serekali. Ben hana raha, anajificha, amekosa mvuto, he is not a statemen, pitty!!!

thanks by the way
 
Wa kujiuzulu si ngeleja pekee bali Serikali yote ya Kikwete. Katika Serikali hiyo waliotoa kauli ili kutetea maslahi ya Watanzania ni Sitta na Mwakyembe tu.
kweli aibu hii itakua kwao wote wafikirie upya, huu ni wizi wa wazi,pamoja na elimu duni ya shule za kata watanzania tumegundua wizi huu,watafute njia nyingine na wakati huu tutakua makini zaidi hivyo sidhani kama wataweza.
 
Wa kujiuzulu si ngeleja pekee bali Serikali yote ya Kikwete. Katika Serikali hiyo waliotoa kauli ili kutetea maslahi ya Watanzania ni Sitta na Mwakyembe tu.

kafulila si ktk agenda yake kasema ataliomba bunge ili serikali ijieleze kwa kulinda ujambazi wa dowans na iwajibike! Sijui kama tunamuelewa hapa kwenye kuwajibika kama mtu ameshindwa kutimiza wajibu! Mkuu nasubiri kwa hamu bunge lianze!
 
hawa wa2 ni kuwanyima kura 2,me nawaza yan hpa ndo kwnz tunaanza awamu ya 2 ya JK,mambo ni mabaya na mabovu km haya!cjui km cabinet hii nayo itatek ol 5 yrz...!ngeleja kuficha uso co kaz xana km kwa mh prezoo

Nivigumu kuwanyimakura walishajiimalishakwenyemajimbo yao
 
Back
Top Bottom