Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Majina matatu yapita kati ya 50 ya walioomba ukurugenzi Tanesco
Source: TZ LiveNews
Majina matatu yapita kati ya 50 ya walioomba ukurugenzi Tanesco
Mbali ya Peter Ngumbulu hivi hii bodi ya Tanesco wajumbe wengine ni akina nani?............mwenye kujua please anisaidie kunipa majina yao hapa bodini JF
..Kama mkulu kamtaka nani wa kumpinga?Dont tell me hatuna watu wa kuongoza Tanesco isipokuwa Dr Rashid tu!
No sisi ni wapole mno na tutaendeleza upole huu mpaka wang'oke kwa hiyari yaoSums up all..nchi ya wapumbavu..PERIOD
Aliyeturoga ni CCM ya azimio la zanzibar. Kwa kweli tumetukanwa na kupuuzwa vya kutosha. Naamni hata kukurupuka ktk maamuzi ni kufanya maamuzi magumu pia.Sijui nani 'katuroga'! Hivi kweli hakuna mwingine zaidi ya Dr Rashid? Mambo mengine hayaingii akilini kabisa!
Haya ni matusi makubwa sana kwa wasomi wengine wa kitanzania. Hivi kweli bila Idris Rashid kuwepo Tanesco hilo shirika litakufa??!! Jamani wakati mwingine wawe wanajua kuchagua aina ya matusi, haya si mazuri kabisa. Tuna vichwa kibao vya kuweza kuendesha hata nchi ije kuwa Tanesco.
sawa kabisa, mtu hatari namba moja ni jakaya kikwete huyu ndo mwizi namba moja wa pesa za epa, wale wafanyakazi wa benki kuu waliotolewa mbuzi wa kafara wanasali usiku na mchana na very soon, Mungu ambaye hahongwi atamuumbua kikwete na maharamia wenzake, katika hiyo list umesahau genge la mafia linaloshirikiana na kikwete ambao ni akina apson, subash patel, hawa wote ni majambazi. ni bahati mbaya kuwa nchi inaongozwa na genge la mafiaWatu hawa wafuatao ni kundi la hatari sana sana katika nchi ya Tanzania...
1. Jakaya Kikwete
2. Edward Lowassa mamvi
3. Rostam Aziz
4. Idris Rashidi wa Tanesco
5. Dau wa NSSF
6. Chenge (mwizi wa rada)
7. Sofia Simba
8. Yusuph Makamba
9. Zitto Kabwe
10. apson-mkuu wa usalama wa zmani
11. subash patel na wenzake
11.
Mdondoaji...Hebu tupe justication zako bwana au bi macho mbadiliko
Na wewe ni mtanzania? Kama ndio je hiyo sifa kwenye nyekundu inakuhusu.Sums up all..nchi ya wapumbavu..PERIOD
aaarrr..nafanya process ya kuwa raia wa Somalia...siezi kuvumilia huu upupu.Na wewe ni mtanzania? Kama ndio je hiyo sifa kwenye nyekundu inakuhusu.
Sums up all..nchi ya wapumbavu..PERIOD
Nyinyi na wenzenu mimi sio mpumbavu kwahiyo hapo sipo!