mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,331
- 4,857
Binadamu anauwezo mkubwa sana wenye maamuzi, hasa pale unapoona kuna magumu unayoyapitia na kadiri unavyo chakata akili yako kipi ufanye ndipo unapozidi kufunga milango ya uwezo wako wa ndani kutoa majibu.
Inashangaza sana binadamu anapopatwa na tatizo muda mwingi anatumia kuwaza nini afanye na kujilaumu, tambua unapofanya hivyo, unajichimbia shimo na mwisho wa siku utajikuta umechukua maamuz magumu ya kujiaua, unapopatwa na shida yoyote iwe ngumu au rahisi wewe.
Chukulia simpo, yaani penda kupuuzia, mambo na sio kukaa kuwaza muda mwing suala hilo hilo hapo huwez kufungua ile milango ya misaada iliyopo ndani yako.
Maana hakuna jambo litalokuja kwako kwa kukustukiza kila jambo limepangiliwa kwenye ulimwengu wako wa ndan ya nafs yako ila ubongo na hisia za fikra zako ndizo zinachelewesha kupata.
Suluhisho la tatizo lako, nini kifanyike kwa wale ambao wanataka kuboresha uwezo wao wa ndani ila upate majibu kwa haraka, fanya hivi pale unapopatwa na tatizo lolote penda kulipuuzia na fikiria mambo mengine
Inashangaza sana binadamu anapopatwa na tatizo muda mwingi anatumia kuwaza nini afanye na kujilaumu, tambua unapofanya hivyo, unajichimbia shimo na mwisho wa siku utajikuta umechukua maamuz magumu ya kujiaua, unapopatwa na shida yoyote iwe ngumu au rahisi wewe.
Chukulia simpo, yaani penda kupuuzia, mambo na sio kukaa kuwaza muda mwing suala hilo hilo hapo huwez kufungua ile milango ya misaada iliyopo ndani yako.
Maana hakuna jambo litalokuja kwako kwa kukustukiza kila jambo limepangiliwa kwenye ulimwengu wako wa ndan ya nafs yako ila ubongo na hisia za fikra zako ndizo zinachelewesha kupata.
Suluhisho la tatizo lako, nini kifanyike kwa wale ambao wanataka kuboresha uwezo wao wa ndani ila upate majibu kwa haraka, fanya hivi pale unapopatwa na tatizo lolote penda kulipuuzia na fikiria mambo mengine