Shame on him...lakini ni wakati sasa Katoliki kubadilika na kuwaruhusu mapadri waoe
Habari Wadau wa JF,
Katibu Mtendaji wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (Tanzania Episcopal Conference, TEC), Padri Anatoly Salawa amefumaniwa akifanya ngono ndani ya gari yake yenye namba T 674 ADA, na dada mmoja ambaye inadaiwa nae ni mfanyakazi wa baraza la maaskofu.!
View attachment 252053
View attachment 252054
MY TAKE.!
Nadhani Kanisa Katoliki lijitafakari upya na ifike mahali Mapadri waruhusiwe kuoa. Hakuna sababu ya kuendelea kumdanyanya Mungu kiasi hiki. Shame.!!
View attachment 252055