Mapinduzi kutoka Roman Catholic (RC) hadi Tanzanian Catholic (TC) kutokana na tamko la papa

Bando la wiki

JF-Expert Member
May 23, 2023
314
877
Naona ni muda muafaka kanisa katoliki Tanzania kujitoa kwenye makucha ya Papa chini ya mfumo wake wa Roman Catholic.
Haingii akilini, makanisa tumejenga sisi waumini, magari tuwanunulie mapadri na maaskofu halafu hatokee mtu from nowhere kisa ni papa abadilishe asili ya mwanadamu kwa kutaka mashoga kubalikiwa ndani ya kanisa takatifu la Yesu kristo.
Kanisani wanaingia wazinzi, waasherati, wachawi, walevi, wezi, majambazi, waongo, na kila aina ya watenda maovu. Wanapoingia kanisani kuomba TOBA huwa ni jambo la siri baina yake na padri, wakisha pata toba wanarudi kwenye mstari kimya kimya pasipo kuwa exposed kwa waumini wengine.

Hakuna uspesho wowote walionao mashoga kiasi kwamba kanisa lishugulike nao kuwabaliki badala ya kuingia kanisani kama watu wanaopinga ushoga na watu wanaotaka msaada ili waache tabia yao hiyo chafu ya ushoga.

Sasa kanisa kumbukeni mambo huanza mdogo mdogo namna hii ya kuwabaliki mashoga na mwisho kabisa ni kuanza kuwafungisha ndoa wanaume wawili ndani ya kanisa takatifu la kristo.
Waumini hatutakubaliana na jambo hilo, ni bora nitafute kanisa lingine la kikristo nikamuabudu Yesu huko kuliko kufungamana na ninyi kwa kuruhusu dhambi hii ya ushoga kanisani.

Viongozi wa dini nadhani mnakumbukumbi namna dhambi ya ushoga ilivyo uangamiza miji ya Sodoma na Gomola. Mungu ni yule yule aliye uangamiza miji hiyo kwa kuchukizwa na agenda ya mashoga kuondoa mpango wa Mungu duniani wa mwanaume na mwanamke kuungana pamoja katika ndoa takatifu ili wawe kiwanda cha kuujaza ulimwengu.

Sasa ni muda kwa baraza la maaskofu Tanzania (TEC) kumwandikia barua/ waraka Papa kupingana na hoja yake ya kubaliki mashoga kanisani. Kama ambavyo Tec mlithubutu kuiandikia serikali waraka kupinga uwekezaji wa kimagumashi wa DP World nadhani pia ni muda sahihi kufanya jambo hilo hilo kwa kupinga wazi wazi uamuzi wa papa ili sisi waumini tusiwaone ninyi ni manafiki ambayo bwana Yesu aliwataadhalisha kwenye:

"Mathayo 23:15
[15]Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu; na akiisha kufanyika, mnamfanya kuwa mwana wa jehanum mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe."

Mkashamwandikia hiyo barua ya kupinga hoja yake mmwambie hasipokubaliana nanyi ni bora kujitenga nae kuanzisha kanisa la Kristo litakalojulikana kama Tanzanian Catholic litakolodumisha ibada sahihi za bwana wetu Yesu kristo.

Baraza la maaskofu mkishindwa kufanya hivyo kubalini matokeo ya waumini wenu (mimi miongoni mwao) kuwakimbia na kumtafuta Yesu katika madhehebu mengine ya kikristo. Uzuri ni kwamba bwana wetu Yesu kristo hana mipaka kwamba anapatikana tu katika kanisa la RC popote pale unaweza kumuomba na akajibu.
Tumsifu Yesu kristo....
 
Naona ni muda muafaka kanisa katoliki Tanzania kujitoa kwenye makucha ya Papa chini ya mfumo wake wa Roman Catholic.
Haingii akilini, makanisa tumejenga sisi waumini, magari tuwanunulie mapadri na maaskofu halafu hatokee mtu from nowhere kisa ni papa abadilishe asili ya mwanadamu kwa kutaka mashoga kubalikiwa ndani ya kanisa takatifu la Yesu kristo.
Kanisani wanaingia wazinzi, waasherati, wachawi, walevi, wezi, majambazi, waongo, na kila aina ya watenda maovu. Wanapoingia kanisani kuomba TOBA huwa ni jambo la siri baina yake na padri, wakisha pata toba wanarudi kwenye mstari kimya kimya pasipo kuwa exposed kwa waumini wengine.

Hakuna uspesho wowote walionao mashoga kiasi kwamba kanisa lishugulike nao kuwabaliki badala ya kuingia kanisani kama watu wanaopinga ushoga na watu wanaotaka msaada ili waache tabia yao hiyo chafu ya ushoga.

Sasa kanisa kumbukeni mambo huanza mdogo mdogo namna hii ya kuwabaliki mashoga na mwisho kabisa ni kuanza kuwafungisha ndoa wanaume wawili ndani ya kanisa takatifu la kristo.
Waumini hatutakubaliana na jambo hilo, ni bora nitafute kanisa lingine la kikristo nikamuabudu Yesu huko kuliko kufungamana na ninyi kwa kuruhusu dhambi hii ya ushoga kanisani.

Viongozi wa dini nadhani mnakumbukumbi namna dhambi ya ushoga ilivyo uangamiza miji ya Sodoma na Gomola. Mungu ni yule yule aliye uangamiza miji hiyo kwa kuchukizwa na agenda ya mashoga kuondoa mpango wa Mungu duniani wa mwanaume na mwanamke kuungana pamoja katika ndoa takatifu ili wawe kiwanda cha kuujaza ulimwengu.

Sasa ni muda kwa baraza la maaskofu Tanzania (TEC) kumwandikia barua/ waraka Papa kupingana na hoja yake ya kubaliki mashoga kanisani. Kama ambavyo Tec mlithubutu kuiandikia serikali waraka kupinga uwekezaji wa kimagumashi wa DP World nadhani pia ni muda sahihi kufanya jambo hilo hilo kwa kupinga wazi wazi uamuzi wa papa ili sisi waumini tusiwaone ninyi ni manafiki ambayo bwana Yesu aliwataadhalisha kwenye:

"Mathayo 23:15
[15]Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu; na akiisha kufanyika, mnamfanya kuwa mwana wa jehanum mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe."

Mkashamwandikia hiyo barua ya kupinga hoja yake mmwambie hasipokubaliana nanyi ni bora kujitenga nae kuanzisha kanisa la Kristo litakalojulikana kama Tanzanian Catholic litakolodumisha ibada sahihi za bwana wetu Yesu kristo.

Baraza la maaskofu mkishindwa kufanya hivyo kubalini matokeo ya waumini wenu (mimi miongoni mwao) kuwakimbia na kumtafuta Yesu katika madhehebu mengine ya kikristo. Uzuri ni kwamba bwana wetu Yesu kristo hana mipaka kwamba anapatikana tu katika kanisa la RC popote pale unaweza kumuomba na akajibu.
Tumsifu Yesu kristo....
Wacatholic wameikubari kauli Ile nani apinge

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Naona ni muda muafaka kanisa katoliki Tanzania kujitoa kwenye makucha ya Papa chini ya mfumo wake wa Roman Catholic.
Haingii akilini, makanisa tumejenga sisi waumini, magari tuwanunulie mapadri na maaskofu halafu hatokee mtu from nowhere kisa ni papa abadilishe asili ya mwanadamu kwa kutaka mashoga kubalikiwa ndani ya kanisa takatifu la Yesu kristo.
Kanisani wanaingia wazinzi, waasherati, wachawi, walevi, wezi, majambazi, waongo, na kila aina ya watenda maovu. Wanapoingia kanisani kuomba TOBA huwa ni jambo la siri baina yake na padri, wakisha pata toba wanarudi kwenye mstari kimya kimya pasipo kuwa exposed kwa waumini wengine.

Hakuna uspesho wowote walionao mashoga kiasi kwamba kanisa lishugulike nao kuwabaliki badala ya kuingia kanisani kama watu wanaopinga ushoga na watu wanaotaka msaada ili waache tabia yao hiyo chafu ya ushoga.

Sasa kanisa kumbukeni mambo huanza mdogo mdogo namna hii ya kuwabaliki mashoga na mwisho kabisa ni kuanza kuwafungisha ndoa wanaume wawili ndani ya kanisa takatifu la kristo.
Waumini hatutakubaliana na jambo hilo, ni bora nitafute kanisa lingine la kikristo nikamuabudu Yesu huko kuliko kufungamana na ninyi kwa kuruhusu dhambi hii ya ushoga kanisani.

Viongozi wa dini nadhani mnakumbukumbi namna dhambi ya ushoga ilivyo uangamiza miji ya Sodoma na Gomola. Mungu ni yule yule aliye uangamiza miji hiyo kwa kuchukizwa na agenda ya mashoga kuondoa mpango wa Mungu duniani wa mwanaume na mwanamke kuungana pamoja katika ndoa takatifu ili wawe kiwanda cha kuujaza ulimwengu.

Sasa ni muda kwa baraza la maaskofu Tanzania (TEC) kumwandikia barua/ waraka Papa kupingana na hoja yake ya kubaliki mashoga kanisani. Kama ambavyo Tec mlithubutu kuiandikia serikali waraka kupinga uwekezaji wa kimagumashi wa DP World nadhani pia ni muda sahihi kufanya jambo hilo hilo kwa kupinga wazi wazi uamuzi wa papa ili sisi waumini tusiwaone ninyi ni manafiki ambayo bwana Yesu aliwataadhalisha kwenye:

"Mathayo 23:15
[15]Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu; na akiisha kufanyika, mnamfanya kuwa mwana wa jehanum mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe."

Mkashamwandikia hiyo barua ya kupinga hoja yake mmwambie hasipokubaliana nanyi ni bora kujitenga nae kuanzisha kanisa la Kristo litakalojulikana kama Tanzanian Catholic litakolodumisha ibada sahihi za bwana wetu Yesu kristo.

Baraza la maaskofu mkishindwa kufanya hivyo kubalini matokeo ya waumini wenu (mimi miongoni mwao) kuwakimbia na kumtafuta Yesu katika madhehebu mengine ya kikristo. Uzuri ni kwamba bwana wetu Yesu kristo hana mipaka kwamba anapatikana tu katika kanisa la RC popote pale unaweza kumuomba na akajibu.
Tumsifu Yesu kristo....
kwahiyo sadaka hazitakuwa zinapelekwa vatican tena, mbona watatajirika sana?
 
Ukristo na Ushoga vinashabihiana, dawa ni kuwa muislam tu.
Uislam ndio dini inayopinga ushoga winja wala.
Ukithibitika wewe ni shoga, huruhusiwi hata kuingia msikitini achilia mbali kubalikiwa.

Ukitaka usiolewe na mwanamme mwenzio ingia kwenye uislam tu, sio kuhama dhehebu la kikristo.
 
Ukristo na Ushoga vinashabihiana, dawa ni kuwa muislam tu.
Uislam ndio dini inayopinga ushoga winja wala.
Ukithibitika wewe ni shoga, huruhusiwi hata kuingia msikitini achilia mbali kubalikiwa.

Ukitaka usiolewe na mwanamme mwenzio ingia kwenye uislam tu, sio kuhama dhehebu la kikristo.
Zanzibar na Pwani palipo na misikiti na waumini wengi wa kiislamu mbona ndiko kunaongoza kuwa na mashoga wengi?
 
Ukristo na Ushoga vinashabihiana, dawa ni kuwa muislam tu.
Uislam ndio dini inayopinga ushoga winja wala.
Ukithibitika wewe ni shoga, huruhusiwi hata kuingia msikitini achilia mbali kubalikiwa.

Ukitaka usiolewe na mwanamme mwenzio ingia kwenye uislam tu, sio kuhama dhehebu la kikristo.
Duuh! Wewe hujasema kweli, waislam wengi sana mashoga. Tena wengine ni viongozi wa dini kabisa na wanajulikana na wanaendesha ibada kila siku.

Fika Zanzibar ndio utaelewa kuwa bado hujui kitu. Huku mashoga ndio walikozaliwa au naweza sema ni chimbuko. Hawajifichi na wanaenda swala tano kama kawaida
 
Hivi ni kwa nini mmekazania kupotosha maana?

Sio maana hata tu ujumbe wenyewe mnaupotosha.

NI wapi? Ni fundisho gani linasema watu waliohukumiwa kibinadamu kuwa wana 'dhambi' fulani basi watengwe na kanisa?

Sasa wakitengwa na wakataka kutubu, watatubia wapi?

Ujumbe umesema, wasitengwe na baraka (za magari, mashamba kila kitu) na huduma za kikanisa halafu mmekazana kuweka 'version' yenu ya ujumbe sijui kwa minajili gani. Ujumbe umesisitiza baraka zisitolewe kinamna inayoweza kufananishwa na ndoa tena hata kuhusianishwa na kubariki ndoa lakini bado mmekaza fuvu whyyy.

Amaa kweli watu hujenga maovu vichwani mwao kisha hutoka na kuyatafuta mtaani, wakiyapata hufurahia na hata wasipoyapata basi wao HUYAUMBA!!!
 
Duuh! Wewe hujasema kweli, waislam wengi sana mashoga. Tena wengine ni viongozi wa dini kabisa na wanajulikana na wanaendesha ibada kila siku.

Fika Zanzibar ndio utaelewa kuwa bado hujui kitu. Huku mashoga ndio walikozaliwa au naweza sema ni chimbuko. Hawajifichi na wanaenda swala tano kama kawaida
Kwani walikufa ya nini huko Zanzibar ewe kafiri?
 
Back
Top Bottom