Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
Padre mmoja alipoteza jogoo wake, akaona aulize kanisani baada ya ibada kama kuna muumin kamuona jogoo wake, basi padre akuliza jaman kuna mtu ana jogoo wanaume wote wakasimama, padre akasema naona hamjanielewa nauliza hivi kuna mtu ameona jogoo, wanawake wote wakasimama, padre akasema jaman simaanishi hivyo nauliza kuna mtu yeyote aliyenionea jogoo wangu, masister wote wakasimama, padre kuona hvyo akazimia.