Our Brother Passed Away!

Asanteni, nafarijika sana na faraja kutoka kwenu! MUNGU AWAZIDISHIE MOYO WA HURUMA!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Poleni sana. Pigo kubwa kuanzia familia mpaka waliotegemea utaalamu wake.
 
........pole sana, Bwana alitoa na ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe.
 
RIP Mwamdemu
Habari za siku kadhaa wanaJF wenzangu?
Kwa huzuni kubwa napenda kuwapa taarifa za kifo cha kaka yangu mpendwa Justine Mdemu kilichotokea huko Kigoma.
Marehemu kaka Justine alikuwa kasuru-kigoma kwa safari ya kikazi hakuwa anaumwa kabla, akiwa huko Kasuru yasemekana aliugua ghafla tangu saa 4 usiku ambapo saa 6 alikimbizwa hospitali lakini saa 10:45 ya tar 24/5 alifariki dunia!
Kwa wali-graduate SUA 1997 Coz ya Agro economics wanaweza kuwa walimfahamu maana ndio mwaka aliohitimu!
Usiku huu ndio tupo kwny safari tukitokea DSM kwnd kumpumzisha ndgu yetu hapo kesho J2, mazishi yatakayofanyika Mufindi Iringa!

Naomba kuwasilisha kwa maombi yenu!
Asanteni.
 
Poleni sana mkuu,M.Mungu awape nguvu katika kipindi hki kigumu na ampumzishe kwa aman,amina
 
Habari za siku kadhaa wanaJF wenzangu?
Kwa huzuni kubwa napenda kuwapa taarifa za kifo cha kaka yangu mpendwa Justine Mdemu kilichotokea huko Kigoma.
Marehemu kaka Justine alikuwa kasuru-kigoma kwa safari ya kikazi hakuwa anaumwa kabla, akiwa huko Kasuru yasemekana aliugua ghafla tangu saa 4 usiku ambapo saa 6 alikimbizwa hospitali lakini saa 10:45 ya tar 24/5 alifariki dunia!
Kwa wali-graduate SUA 1997 Coz ya Agro economics wanaweza kuwa walimfahamu maana ndio mwaka aliohitimu!
Usiku huu ndio tupo kwny safari tukitokea DSM kwnd kumpumzisha ndgu yetu hapo kesho J2, mazishi yatakayofanyika Mufindi Iringa!

Naomba kuwasilisha kwa maombi yenu!
Asanteni.

OMG!!! MDemu huyu si ndo alikuwa waziri wa fedha wa serikali ya wanafunzi pale SUA? aaaahh, nimeumia sana sana...Pumzika kwa amani kamanda wangu MDemu nakukumbuka sana kipindi ile tunagoma wakati posho yetu inacheleweshwa na akina Dihenga na Bisheko....Tangulia Mdemu,,,lala kwa amani poti..
 
R.I.P Justin
muweni na moyo wa uvumilivu enyi ndugu wa marehemu
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake libarikiwe.
 
Poleni sana kwa msiba, tunawaombea msafiri salama na mumpumzishe marehemu kwenye nyumba yake ya milele kwa rehema zote za Mwenyezi. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom