Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,540
- 12,398
Habari za siku kadhaa wanaJF wenzangu?
Kwa huzuni kubwa napenda kuwapa taarifa za kifo cha kaka yangu mpendwa Justine Mdemu kilichotokea huko Kigoma.
Marehemu kaka Justine alikuwa kasuru-kigoma kwa safari ya kikazi hakuwa anaumwa kabla, akiwa huko Kasuru yasemekana aliugua ghafla tangu saa 4 usiku ambapo saa 6 alikimbizwa hospitali lakini saa 10:45 ya tar 24/5 alifariki dunia!
Kwa wali-graduate SUA 1997 Coz ya Agro economics wanaweza kuwa walimfahamu maana ndio mwaka aliohitimu!
Usiku huu ndio tupo kwny safari tukitokea DSM kwnd kumpumzisha ndgu yetu hapo kesho J2, mazishi yatakayofanyika Mufindi Iringa!
Naomba kuwasilisha kwa maombi yenu!
Asanteni.
Kwa huzuni kubwa napenda kuwapa taarifa za kifo cha kaka yangu mpendwa Justine Mdemu kilichotokea huko Kigoma.
Marehemu kaka Justine alikuwa kasuru-kigoma kwa safari ya kikazi hakuwa anaumwa kabla, akiwa huko Kasuru yasemekana aliugua ghafla tangu saa 4 usiku ambapo saa 6 alikimbizwa hospitali lakini saa 10:45 ya tar 24/5 alifariki dunia!
Kwa wali-graduate SUA 1997 Coz ya Agro economics wanaweza kuwa walimfahamu maana ndio mwaka aliohitimu!
Usiku huu ndio tupo kwny safari tukitokea DSM kwnd kumpumzisha ndgu yetu hapo kesho J2, mazishi yatakayofanyika Mufindi Iringa!
Naomba kuwasilisha kwa maombi yenu!
Asanteni.