Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Sisi tuliozoea kuhojiana na watu huwa tunagundua uwongo kirahisi.Njia ya muongo ni fupi.Kwani Afghanistan wanakosema waliupeleka mwili wa Osama kuna bahari?

Hahahaha mliozoea kuhoji hahahahaha. Una digrii ya kuhoji? Hata ivo haibadili ukweli kuwa osama kafa
 
Natangaza msiba mkubwa wa shujaa Sheikh Osama muhamad Bin Laden ambae ameuawa na madhalimu wa marekani ambao wao ndio wanajiona wana haki ya kuishi kwa amni na kumiliki mali za dunia nzima chini ya utawala wa ki freemason na iluminat amabo upo chini ya matakwa ya sheitwan rajjiiim, kiukweli imeniuma sana na pia ni pigo kubwa saana kwa sisi ambao ni maadui wa ubepari dunia nzima. ikumbukwe kua wamarekani walimuua saddam na kuharibu amani ya iraki hao hao walikua wanachochea vurugu somalia na kuwapatia silaha baadhi ya watu hao hao wanahusika kuchafua amani kongo na sehem mbalimbali duniani kwa maslahi yao. Inna li Lillah Wa inna Ilaih rajiuun, khafuu Llah wala Takhfu nnasu.amekufa kiume kama shujaa na sio kama wengine ambao hufa kwa ulevi wa pombe na ngono, tumuombee kheri na Mungu ailaze roho yake katika Jannah ya Firdaus karibu na Mtume mUhammad S.a.w

mmhhhh!!
 
Wamemuua, hawajampiga picha hata moja halafu wanasema eti wamemzika baharini.
Full changa la macho.

Akili mgando!!
Kama Osama wako yupo basi si ajitokeze na awaumbue wakina Obama ama atoe CD/DVD ama vijitapes vyake?
 
hata mkiandika mara ngapi osama kafa period.najua inakuuma kwasababu wewe ni mslamu.osama kafa halafu siku hivi akuna umbe ukijua english unaangalia habari
 
mi mwenyewe siamini........tutaaminije kwa kuambiwa tu......hebu tusubiri lazima kuna kitu kinakaangwa hapa
 
is-the-bin-laden-picture-fake-140425382.jpg


Nyie wengine ni akina Tomas ktk Biblia, haya picha hiyo.
 
Ure contradicting youself . Inakuwaje kitu kisicho na usichokipa umuhimu kiasi hicho unapata muda wa kutoa comment tena zaidi ya Nne. Na huko kwenye thread zinazongela issue ya theft of public monies unakochangia ni wapi?

Watu wa design hiyo hawakosekani katika kila jamii. Wanajifanya wao ni special.
 
Thanks for your comment but, kumbuka hawa jamaa walishatangaza kuwa Osama aliuwawa Torabora, usishangae kifo chake kikitangazwa tena 2020.
 
Mimi nimeangalia hamna picha zozote za kifo chake wala maiti....hawa US wanatuzuga. Kulikuwa na habari kuwa osama alifariki like 1 week ago kwa kifo cha kawaida, huenda hawa wamarekani wamedandia.

Kwa nini wamesema wamemzika chini ya bahari fasta fasta namna hiyo bila hata evidence yeyote ya kifo chake. Naona hapa cnn kuna mtangazaji mmoja kamkomalia correspondent mwingine wa state haouse kwenye hilo swala la evidence kama kweli wamemuua...jamaa analeta politics!
 
Saddam Hussein alinyongwa na serikali ya mpito ya Irak. Siku moja picha zitaleak tu kama zilivyoleak za Abu ghraib na kwingine.
 
2011 ni mwaka ambao hautasahaulika kwenye historia ya dunia hii....hasa kwa madikteta wa nchi za kiarabu na watu kama wakina Osama.
Hakika mwaka 2011 ni mwaka wenye usiri mkubwa sana kwa mungu wetu!....marais wanatimuliwa ikulu kwa nguvu za umma....na kwingineko magaidi wa kimataifa wanakufa kifo cha mende. Heeee mwenyezi mungu hatuwezi kupingana na wewe na endelea kufanya kile ulichopanga kufanya ndani ya mwaka 2011!.....Jina lako tunalitukuza daima na milele!
 
MAREKANI WAMECHAKACHUA KIFO CHA USAMA BIN LADEN

Ni kweli hajafa hiyo ni propaganda ya ki-inteligencia,Saddam Udei na Qusssei waliwaua na kutuonesha miili yao hadharani tena Saddam ndie waliemnyonga hadharani kabisa.Iweje leo OSAMA BIN LADEN walie sema WANTED DEAD OR ALIVE wamuue na kupiga kaicha kama passport size na kupaka ndevu damu waseme kafa? huo ni usanii na ukweli utajulikana kuhusu kifo cha OSAMA mie siamini kwani story za kwamba kafa torabora sijui wapi zilianza muda mrefu.We need EVIDENCE MWILIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIiii wa OSAMA tuuuuuuuuuuuuuuuuonne kama ule wa SADDAM DNA haitasaidia,WAMECHAKACHUA KIFO CHA USAMA BIN LADEN YU HAI


watanzania taaabuuu.. ndo nyie nyie mnao amini mpaka leo Balali hajafa....
 
Ndugu wadau;

Napata shida kuwaamini wamarekani kuhusu madai yao ya kumuua Osama Bin Laden, wakati habari inathibitishwa kwa mara ya kwanza Rais Obama alisema "mwili wa Bin Laden unashikiliwa na wanajeshi" wa Marekani lakini baada ya muda mfupi tunaambiwa kuwa kwa mujibu wa ofisa wa jeshi mabaki ya "mwili wa Bin Laden yamezikwa baharini" kwasababu walihisi hakuna nchi ambayo ingekuwa tayari kupokea mabaki hayo.

Je kwnini tuwaamini maana hakuna mtu mwingine aliyeona mwili wa Bin Laden zaidi ya askari wa Marekani, Hata picha ya hiyo maiti hatujaonyeshwa, isije tukawa tunatangaziwa habari hii kama moja ya propaganda za obama katika uchaguzi ujao maana wao ndio wanamiliki international media.

We need to receive it with intensive care!!!
Sidhani kama Marekani wamekulazimisha uamini,kama huamini au unaamini hiyo ni wewe tu na roho yako
 
Hivi nyie wana jf mbona mna2danganya kitoto hebu angalieni hiyo picha ni ya marehemu kweli!hii ni siasa bwana jamaa anatafuta umaarufu wa kuingia madarakani tena!edited hiyo ya picture sio ukweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom