Sisi tuliozoea kuhojiana na watu huwa tunagundua uwongo kirahisi.Njia ya muongo ni fupi.Kwani Afghanistan wanakosema waliupeleka mwili wa Osama kuna bahari?
Hahahaha mliozoea kuhoji hahahahaha. Una digrii ya kuhoji? Hata ivo haibadili ukweli kuwa osama kafa