Tatizo la bush alikuwa anatangaza kwamba tutaenda kuvamia ,hakujua hao wakuu wa uko ndio wanaomlinda osama,Obama yeye alimtafuta kimya kimya bila kutangaza,ata rais wa pakistan hakuambiwa.Osama alikuwa anaishi karibu na kambi ya jeshi ata akiumwa alikuwa anatibiwa kwenye hospitali ya jeshi.
Wakati mwingine usiri una baraka ' Diamond Platinum'
American have only one vision, but different ideas and philosophies....thread hii ni nzuri ila haiwapendezi baadhi ya watu walimpenda sana mzee O.bin L.
Wajuzi wa mambo tulisikia kuwa Osama bin Laden kauawa na wanajeshi wa Marekani.Kukawa na taarifa nyingine kuwa hajauawa je ni kweli aliuawa?Je kuna uthibitisho umepatikana wa kuuawa kwake?Kwa mfano sehemu alipouawa,alipozikwa na kadhalika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.