- Thread starter
- #21
makatibu wakuu, na wasaidizi wao, manaibu waziri, wakuu wa vyuo, mkuu wa tasisis ya elimu kibaha, wakurugenzi wa TBS, TFDA, TRA, BoT, mKUU WA MAJESHI YA ULINZI, POLISI, katibu mkuu ikulu, mabalozi wa nchi za nje, ndani ya ccm pia huteua watu wake... nafasi ni nyingi sana rais anazoteua
Na kwa jinsi hii anaweza vipi kujitoa katika poor performance ya serikali yake?!