Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Siku moja baada ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya CHADEMA kujiunga rasmi na chama cha ACT, kuna wimbi kubwa la wafuasi na wanachama wa CHADEMA kukihama chama hicho na kumfuata Zitto. Hakika hili ni pigo kubwa sana kwa CHADEMA. Hatujui ni watu wangapi wamebadili fikra zao na kwenye uchaguzi ujao watakipigia kura ama CCM au ACT ambao walikuwa ni wafuasi wa CHADEMA. Poleni sana Makamanda. Siasa si chuki.