Yes stress,lishe lazima ufanye control,ukiamka kabla yakula chochote after mswaki lamba asali maisha yanakua Poa kabisaInawezekana kwa sababu ni natural product.
Ila hakuna articial medicine ya vidonda vya tumbo zaidi ya kuvituliza tu
Sio za GSK tu dawa yoyote yenye nembo ya GMP, shida inayokuja haya makampuni kwa bahati mbaya yote yamefunga operation zao direct hapa Tanzania hivyo kuliachia soko la dawa kutawaliwa na bidhaa kutoka India, Pakistan, bangaladesh na china hivyo tunapoelekea unaweza ukawa na pesa na still usipate GMP product maana hazitakuwepo sokoni.Dawa za GSK PRODUCT (UK) Zina Bei juu pia ufanisi wake Ni mkubwa sanaaa...
HIVKuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
Mkuu unalijua gemu vyema 😊😊 pia MEPHA PRODUCT za Switzerland nazo Zina Bei juuSio za GSK tu dawa yoyote yenye nembo ya GMP, shida inayokuja haya makampuni kwa bahati mbaya yote yamefunga operation zao direct hapa Tanzania hivyo kuliachia soko la dawa kutawaliwa na bidhaa kutoka India, Pakistan, bangaladesh na china hivyo tunapoelekea unaweza ukawa na pesa na still usipate GMP product maana hazitakuwepo sokoni.
Watu wengi wanapenda vitu vya Bei Chee hivyo makampuni makub wa bidhaa zao haziuziki
Ceftriaxone 1gm ya Europe 8000tsh while ya India 750tsh
Meropenem 1gm og 100,000tsh while from India 15,000
Simply havitibiki.Mfano : kula chakula kwa wakati, kuepuka vitu vye asili ya asidi kama pili pili, tangawizi,ndimu n.k.
Kuepuka hasira zilizopitiluza, msongo wa mawazo/stress inabidi uviepuke sana.
Hapo utapona vidonda vya tumbo permanently
Saratani ipi hiyo mkuu?* Saratani. Saratani ikigundulika hatua za mwanzo kuna wengi tu wanapona moja kwa moja
kabisa aisee....Ni life style tu inakuepusha na hili janga.
Kama wewe ni mtu unaepitia stress sana mara kwa mara, hasira nyingi unakosewa kidogo unalalamika unahuzunika, unaweka vitu moyoni vinakutuafuna mwenyewe, basi una uwezekano wa kupata vidonda vya tumbo kwa asilimia 98 %
Karibu zote zinatibika zikiwa katika hatua za mwanzoSaratani ipi hiyo mkuu?
Yeah..kabisa aisee....
saa zingine hasa kwenye shida ya moyo mi naonaga ni kwasababu ya kung"ang"ana na vinyongo, visasi na manung"uniko yasio isha....
life style ni tiba mujarabu sana kwa magomjwa mengi ya binadamu...
Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hap
Kuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine h
Ukizoea KKuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
Elewa hayatibiki TANZANIA sio yasiokuwa na TIBAKuna ndugu yangu ana Rheumatoid Arthritis. Nao tumeambiwa hauna tiba
Ulifanya niniNilikuwa na vidonda tumbo na nimepona.
#YNWA
Dawa za kienyeji kibaooUlifanya nini
Sawa dr mambo jamboKuna Shida kubwa nimeiona Humu watu hawajui Kutofautisha Syndrome,Disorder,Disease na Illness..
Ni tatizo sana
Tena km hii Ceftriaxone, Meropenem and other antibiotics ndio zimechezewa sana na Wahindi. Nashangaa nchi hii kuruhusu below par medications kutawala soko huku zikiua figo na kufanya usugu wa vimelea nchiniSio za GSK tu dawa yoyote yenye nembo ya GMP, shida inayokuja haya makampuni kwa bahati mbaya yote yamefunga operation zao direct hapa Tanzania hivyo kuliachia soko la dawa kutawaliwa na bidhaa kutoka India, Pakistan, bangaladesh na china hivyo tunapoelekea unaweza ukawa na pesa na still usipate GMP product maana hazitakuwepo sokoni.
Watu wengi wanapenda vitu vya Bei Chee hivyo makampuni makubwa bidhaa zao haziuziki
Ceftriaxone 1gm ya Europe 8000tsh while ya India 750tsh
Meropenem 1gm og 100,000tsh while from India 15,000