antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,867
- 120,886
Saratani inatibiwa; inategemea imeshambulia sehemu gani ya mwili na imegnduliwa ikiwa katika ngazi gani. Nadhani saratani ngumu kutibiwa ni ile ya Ubongo, Mapafu na ya kongosho (pancreatic -kama sikukosea). Nyingine zote zinatibika zikingundulika mapema katika stage 1 au stage 2.Saratani haijawahi kuwa na tiba popote pale duniani, ukiupata huu ugonjwa kinachobakia ni kusogeza siku tu
niliwahi kupata tatizo la vidonda vya tumbo Lakini kwasasa imethibitika sinavyo tena 🐒Vidonda vya tumbo havitibiki kwa kunywa dawa, dawa inatuliza tu maumivu kwa mda flani then vinatibuka tena.
Vidonda vya tumbo vinatibika kwa kubadili tu life style ya maisha yako.
Mfano : kula chakula kwa wakati, kuepuka vitu vye asili ya asidi kama pili pili, tangawizi,ndimu n.k.
Kuepuka hasira zilizopitiluza, msongo wa mawazo/stress inabidi uviepuke sana.
Hapo utapona vidonda vya tumbo permanently
Jaundice sio ugonjwa ni dalili ya baadhi ya magonjwa hasa ya ini. But I can assure u magonjwa mengi km sio yote ya ini na yanayosababisha manjano ( jaundice)yanatibika kasoro Hepatitis B, Kansa ya ini au kansa ya kongoshoMkuu Jaundice inatibika?
Obstructive jaundice kwanni isitibike? Au hujui maana ya obstruction? Tiba yake ni rahisi unaondoa hiyo obstructionObstructive jaundice haijawahi kuwa na tiba mkuu.
Asali ni dawa kubwa sn ya vidonda vya tumboVidonda vya tumbo havitibiki kwa kunywa dawa, dawa inatuliza tu maumivu kwa mda flani then vinatibuka tena.
Vidonda vya tumbo vinatibika kwa kubadili tu life style ya maisha yako.
Mfano : kula chakula kwa wakati, kuepuka vitu vye asili ya asidi kama pili pili, tangawizi,ndimu n.k.
Kuepuka hasira zilizopitiluza, msongo wa mawazo/stress inabidi uviepuke sana.
Hapo utapona vidonda vya tumbo permanently
Pili pili ina asidi?Vidonda vya tumbo havitibiki kwa kunywa dawa, dawa inatuliza tu maumivu kwa mda flani then vinatibuka tena.
Vidonda vya tumbo vinatibika kwa kubadili tu life style ya maisha yako.
Mfano : kula chakula kwa wakati, kuepuka vitu vye asili ya asidi kama pili pili, tangawizi,ndimu n.k.
Kuepuka hasira zilizopitiluza, msongo wa mawazo/stress inabidi uviepuke sana.
Hapo utapona vidonda vya tumbo permanently
Asante kwa jibu zuri lenye matumaini, nina kijana wangu ana JaundiceJaundice sio ugonjwa ni dalili ya baadhi ya magonjwa hasa ya ini. But I can assure u magonjwa mengi km sio yote ya ini na yanayosababisha manjano ( jaundice)yanatibika kasoro Hepatitis B, Kansa ya ini au kansa ya kongosho
FigoKuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
Ana umri gani?Asante kwa jibu zuri lenye matumaini, nina kijana wangu ana Jaundice
Dawa za GSK PRODUCT (UK) Zina Bei juu pia ufanisi wake Ni mkubwa sanaaa...Pia kumbukeni dawa nyingi tunazotumia nchi hii ni za ubora wa chini sana,. Mfano mzuri jaribu kulinganisha ubora wa Amoxiclav hizi za India ( Myclav, and the likes) na Amoxiclav ile original Augmentin ya GSK( European Quality)
Miaka sitaAna umri gani?
Umeshampeleka Hospitali ya kueleweka wakakuambia sababu ya hiyo manjano ( jaundice) ni nini? Kwa sababu km nilivyokwisha kukuambia hakuna ugonjwa unaitwa jaundice bali hiyo ni dalili ya ugonjwa husika. Ukishautibu huo ugonjwa husika maana yake hiyo manjano itatokomeaMiaka sita
Nipo Mwanza sijui wewe upo wapi au kama una connection na Dr aliopo mkoa niliopo utakua umenisaidia. Kuna baadhi ya hospitals nilisha mpeleka wakaishia kumpa folic acidUmeshampeleka Hospitali ya kueleweka wakakuambia sababu ya hiyo manjano ( jaundice) ni nini? Kwa sababu km nilivyokwisha kukuambia hakuna ugonjwa unaitwa jaundice bali hiyo ni dalili ya ugonjwa husika. Ukishautibu huo ugonjwa husika maana yake hiyo manjano itatokomea
BTW upo mkoa gani?
Inawezekana kwa sababu ni natural product.Asali ni dawa kubwa sn ya vidonda vya tumbo
Stroke kwa tz subiri kudra za munguKuna magonjwa ambayo kwa hapa Tanzania ukiyapata ngumu sana kutibiwa nayo ni:
1. Saratani (Cancer)
2. Vidonda vya tumbo
3. Kisukari
Ongezeeni mengine hapo
Ni life style tu inakuepusha na hili janga.niliwahi kupata tatizo la vidonda vya tumbo Lakini kwasasa imethibitika sinavyo tena 🐒
sijui nini kiliniponya mpaka wa leo, dawa za hospitali nilitumia kwa wingi sana, tiba mbadala mitishamba na miziziologi nimetumia kwa wingi mno, ibada na maombezi nimeshiriki sana 🐒
Ile nashukuru zaidi ni Neema na Baraka za Mungu nimepona kabisa baada ya mateso kwa kipindi fulani kirefu 🐒