Order XXVII r, i subr (1,2,3)

Ninux

Member
Oct 9, 2016
34
10
Habari zenu?
Tafadhali mnisaidie. Mwanamke fulani huku Zanzibar anayejaribu kunitapeli alifungua kesi ya madai, lakini alishindwa kupinga majibu yangu na hati zangu, kwa hiyo alisema mahakamani kwamba halikuwa haupo tayari kusikiliza pingamizi za awali amua kuondosha shauri la kusikiliza pingamizi hizi awali kwa mujibu wa "Order XXVII r, i subr (1,2,3)" ili aweze kuleta "fresh suit" katika mahakama. Baada miezi 7 alifungua kesi ile ile kwa kutoa maombi na madai yale yale bila kujali pingamizi zangu!
Ningependa kujua "Order XXVII r, i subr (1,2,3)" inasema nini na kwa nini huyu mtapeli aliweza kufungua kesi ile ile kwa mara ya kwanza.
Asanteni sana
 
Je hayupo hata mwasheria mmoja ambaye yuko tayari kunisaidia? Huyu mwanamke anajitahidi sana kuniibia mali yangu!
Asante sana
 
HIYO NI SUITS BY OR AGAINST MILITARY PERSONNEL. JAPO SIJAKUELEWA INAWEZEKANA ALIKUPIGA P.O akafungua fresh suit ungetoa maelezo ya nini mlikuwa mnadaiana mpk hapo ulipofika
 
Hicho uliandika hapo hakina uhusiano wowote na hoja yako, unless umenukuu vibaya hiyo order.

Maana Order xxxvii inahusiana military persons hasa wanapitakiwa kuteua mtu awawakilishe katika shauri mahakamani.

Sijaona connection hapo.
 
HIYO NI SUITS BY OR AGAINST MILITARY PERSONNEL. JAPO SIJAKUELEWA INAWEZEKANA ALIKUPIGA P.O akafungua fresh suit ungetoa maelezo ya nini mlikuwa mnadaiana mpk hapo ulipofika
Hakimu alikubali! Sielewi kwa nini. Kwa bahati mimi sina nakala ya "order XXVII" hii.
 
Hicho uliandika hapo hakina uhusiano wowote na hoja yako, unless umenukuu vibaya hiyo order.

Maana Order xxxvii inahusiana military persons hasa wanapitakiwa kuteua mtu awawakilishe katika shauri mahakamani.

Sijaona connection hapo.

Niliandika vizuri "Order XXVII", siyo "Order XXXVII".
 
Hapa JF katika miongoni mwa members wengi humu ni hao wajukuu wa pilato ,utapata majibu soon just tulia tu na huyo gubero hatokudhulumu.
Ila zanzibar kuwa makini wanabebana kule!
 
Habari zenu?
Tafadhali mnisaidie. Mwanamke fulani huku Zanzibar anayejaribu kunitapeli alifungua kesi ya madai, lakini alishindwa kupinga majibu yangu na hati zangu, kwa hiyo alisema mahakamani kwamba halikuwa haupo tayari kusikiliza pingamizi za awali amua kuondosha shauri la kusikiliza pingamizi hizi awali kwa mujibu wa "Order XXVII r, i subr (1,2,3)" ili aweze kuleta "fresh suit" katika mahakama. Baada miezi 7 alifungua kesi ile ile kwa kutoa maombi na madai yale yale bila kujali pingamizi zangu!
Ningependa kujua "Order XXVII r, i subr (1,2,3)" inasema nini na kwa nini huyu mtapeli aliweza kufungua kesi ile ile kwa mara ya kwanza.
Asanteni sana
Acha ubahili. Nenda kwa wakili toa hela uhudumiwe.
 
Habari zenu?
Tafadhali mnisaidie. Mwanamke fulani huku Zanzibar anayejaribu kunitapeli alifungua kesi ya madai, lakini alishindwa kupinga majibu yangu na hati zangu, kwa hiyo alisema mahakamani kwamba halikuwa haupo tayari kusikiliza pingamizi za awali amua kuondosha shauri la kusikiliza pingamizi hizi awali kwa mujibu wa "Order XXVII r, i subr (1,2,3)" ili aweze kuleta "fresh suit" katika mahakama. Baada miezi 7 alifungua kesi ile ile kwa kutoa maombi na madai yale yale bila kujali pingamizi zangu!
Ningependa kujua "Order XXVII r, i subr (1,2,3)" inasema nini na kwa nini huyu mtapeli aliweza kufungua kesi ile ile kwa mara ya kwanza.
Asanteni sana
we ni wa bara na demu ni wa zenj?jibu tu ukweli!
 
Kesi inahusiana na nini.
Mfano madai, jinai au ni kesi gani hiyo, nini hasa kiliwafanya mpelekane mahakani mkuu
Nadhani hapo ndipo pa kuanzia.
 
Kwa kawaida mimi ninasema ukweli! Wote wawili tumezaliwa bara lakini tunaishi Zanzibar. Tafadhali unieleze sababu ya swali lako.
Mara nyingi ukiwa mbara against mzenj wengi wanafahamiana na mbara lazima ulaliwe!na kama mwenzio kachukkuliwa na mzenj pia kuwa makini!
 
Back
Top Bottom