Open University Selection

Kifulambute

JF-Expert Member
May 8, 2011
2,539
755
habari za asubuhi wanajanvi? natumaini hamjambo na mnaendelea na kulisukuma gururdumu la maendeleo.....Jamani naomba kujulishwa ni lini selection ya open University of tanzania kwa Masters 2011/2012 intake itafanyika?
 
Why not ma blood.itafanyika tu kwani we unanyepesi ulizopata mpaka unahisi haito fanyika hiyo selection ya ou
 
habari za asubuhi wanajanvi? Natumaini hamjambo na mnaendelea na kulisukuma gururdumu la maendeleo.....jamani naomba kujulishwa ni lini selection ya open university of tanzania kwa masters 2011/2012 intake itafanyika?

batch one imeshatoka na imesambazwa kwenye vituo vyote nchini. Plz tembelea centre yeyote ya open university watakuonyesha.
 
batch one imeshatoka na imesambazwa kwenye vituo vyote nchini. Plz tembelea centre yeyote ya open university watakuonyesha.


Ahsante kwa taarifa yako...kwenye website yao hakuna kwa nini wasiweke???
 
Why not ma blood.itafanyika tu kwani we unanyepesi ulizopata mpaka unahisi haito fanyika hiyo selection ya ou


siunajua tena maandalizi ya mbongo!!! inabidi watoe mapema ili tujiandae vizuri na mshiko wenyewe unaishia kwenye TANESCO/Symbion
 
Hazole, are sure kuwa batch one imetoka? Mbona kuna watu hata tangazo la kuapply hatujaliona na tunasubiri kwa hamu? Nipe details zaidi mkuu.
 
Back
Top Bottom