Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,812
- 218,469
Hii ndio Taarifa inayotamba ndani ya masaa 24 yanayoendelea hadi hivi sasa, kwamba Bwana Harusi Godlisten Mmbando, week end hii, ndani ya ukumbi wa Sherehe amemkabidhi Bi Harusi zawadi kabambe iliyowashangaza Wageni Waalikwa, Mabibi na Mabwana.
Zawadi zilizotikisa Ukumbi wa Harusi hiyo na kuamsha Shangwe ni Kadi, Katiba na Bendera ya Chadema.
Zawadi zilizotikisa Ukumbi wa Harusi hiyo na kuamsha Shangwe ni Kadi, Katiba na Bendera ya Chadema.