Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,332
Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa akisema hivi, nanukuu "CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAA" mwisho wa kunukuu.
Kauli hii ya Nyerere ilimaanisha kwamba ili chama cha siasa kiwe imara kinapaswa kuwa karibu na wananchi kwa kuwepo miongoni mwao, yaani kuwe na mikutano ya hadhara mara kwa mara kwa lengo la kuwakumbusha wananchi kushiriki kwenye mambo yote muhimu ya maendeleo, ikiwemo kupigania haki zao, Chama cha siasa kinapaswa kufanya maandamano ya kupinga mambo yote machafu ndani ya nchi.
Angalia japo kwa macho yaliyojiri Moshi Mjini, Kata ya Mawenzi, kwenye viwanja vya Posta.
Kauli hii ya Nyerere ilimaanisha kwamba ili chama cha siasa kiwe imara kinapaswa kuwa karibu na wananchi kwa kuwepo miongoni mwao, yaani kuwe na mikutano ya hadhara mara kwa mara kwa lengo la kuwakumbusha wananchi kushiriki kwenye mambo yote muhimu ya maendeleo, ikiwemo kupigania haki zao, Chama cha siasa kinapaswa kufanya maandamano ya kupinga mambo yote machafu ndani ya nchi.
Angalia japo kwa macho yaliyojiri Moshi Mjini, Kata ya Mawenzi, kwenye viwanja vya Posta.