Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

hii location kwa million 50 inatosha kabisa
709e1bac33b394c6215819b68d24bd99.jpg
 
hiyo forex naijua way back Sana before Ontario lakini yeye alivo introduce hapa tulimbishia sana coz alidanganya umma kuwa ni issues simple
Nachoshangaa mm humu wana-MMU kuihusisha wana forex wote wa tz na ontario kiasi cha kwamba kila anayedeal na forex hapa basi katepiliwa na ontario.
 
Kama hii ndiyo point unayoitumia kumuita ontario tapeli nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri.
Mimi naamini tumeonyeshwa tu upande mmoja wa shilingi mnamuamini sana huyo Rea??
Hahahaha pole mkuu ndio maana ameitwa hapa tujui mbichi na mbivu. Mwanzoni akiona threads za malamiko anakuja kwa speed ya 4G. Mie sina chakupoteza hapo
 
Huyu fala nilimsanua mapema nikampa lonja juu ya utapeli wa dogo way back sana huyu fala akaniona mnafiki sitaki maendeleo yake akuishia hapo akaona amepata job full time akaacha na kibarua chake cha uinjinia majalala akakopa milion tano akazama TMT akausake utajiri..Jeff alivyo komando kipensi akamtengenezea na desk la kuwa anatredia pale jangid full time ili azae nae vizuri. Baada ya hapo the rest is history ya maumivu na umaskini. Nilimwambia dogo unakopa million tano unakimbia kazi unaenda kutrade...nilijua itafika kipindi dogo atatambua kwanini IDD Amini aliitwa Dada ilhali ni wakiume.. Ahahaha! Jeff piga umbwa hii. Hii hapa sredi ya ushauri wa mkopo Ushauri: Mimi mwajiriwa serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi

Sasa ana hasira yaani kama Nesi wa wodi ya wazazi... Ahahaha! Dogo tulia haya maisha tu..you lose some you win some.

Mshike mshike ndege tunduni sisi wajanja tulikimbia.

Una uhakika alifanya hvyo? una uhakika kama alikopa pesa yake ipo Jp Markets? You don't have to generalize everything
 
Nachoshangaa mm humu wana-MMU kuihusisha wana forex wote wa tz na ontario kiasi cha kwamba kila anayedeal na forex hapa basi katepiliwa na ontario.
Most of them forex wameijua kupitia Ontario kwahyo haipingiki watu wamepigwa coz walikuwa kwenye njia zake,
NB: watu walishauriwa sana kuhusu tmt ya Ontario kuwa ilenge uhalisia isiwe Janja janja
 
Nimeona bwana. Sasa wao walikua wanafundishwa trading. Ina maana walikua na mkataba nae hata baada ya kumaliza kufundishwa. Sielewii
Baada ya mafunzo wanawekwa kwenye hayo magroup halafu wanakuwa wanapewa mikakati ya kuinvest, sasa hiyo mikakati ndio wizi ulipokuwa unafanyika mfano mnaambiwa soko lipo njema invest mkiweka kinaliwa kumbe mnapoliwa nyie hao mawakala kwao sherehe!!.. Na walikuja mtyt huyo dogo na akakubali.
Lakini hili la kuiba hela huyo ONTARIO badala ya kuja tolea ufafanuzi watu wajue mbivu anaemploy kukaa kimya bila tambua ndio kifo cha TMT!.. Ukikaa kimya ni sawa na huna jibu la kutoa wizi umefanyika.
 
Naomba umseme vizuri Humble wangu usimchokozeeeeee
That's why I love you best..

hutaki nionewe kizembe kama vile Mimi nisivyopenda kuona mabaunsa wa nyuma ya keyboard wakikuonea. We got each others back swry lady.

Kijana nadhani amepata onyo aniache kijana wa watu humble and lovely.

I don't need no more trouble. Kutapeliwa inatosha kabisa.

Xoxo Mama Sabrina
 
Baada ya mafunzo wanawekwa kwenye hayo magroup halafu wanakuwa wanapewa mikakati ya kuinvest, sasa hiyo mikakati ndio wizi ulipokuwa unafanyika mfano mnaambiwa soko lipo njema invest mkiweka kinaliwa kumbe mnapoliwa nyie hao mawakala kwao sherehe!!.. Na walikuja mtyt huyo dogo na akakubali.
Lakini hili la kuiba hela huyo ONTARIO badala ya kuja tolea ufafanuzi watu wajue mbivu anaemploy kukaa kimya bila tambua ndio kifo cha TMT!.. Ukikaa kimya ni sawa na huna jibu la kutoa wizi umefanyika.
TMT sio ya Ontario alikuwa tu mwenyeji wa Rea naamini Ontario akija kuna watu watakimbia humu, ukijaribu kukipa kichwa chako zoezi dogo ukaenda kwenye IG page ya Rea utaona kabisa yeye ni Jp Markets partner kwa hiyo hata yeye alipokuja tz alikuja kumtangaza broker.
Na ninaamini huyu msouth alikuwa akipiga pesa kwa siri ontario alipokuja kugundua na yeye akachota alichoona kinamtosha, hata huu ujumbe aliosema kila mteja atatumiwa na Jp Markets inaonekana ni watu wanaojuana wapo kimkakati. Kama anataka wateja wao wamuamini aonyeshe bank statement ya withdrawals zote zilizofanywa kama atawaonyesha.
Utabiri wangu kutokana na the bold alivyokuja Jf naona kuna madudu mengi yaliyofanywa na huyu msouth na yeye anayajua kiundani, ujio wa Ontario kujibu tuhuma hizi tutayajua mengi.
Niwasihi tu enedeleeni kutuma complaints zenu kwa regulator wa south FSCA link hii hapa chini haki yenu mtaipata
Complaints-Compliments-Feedback
au kupitia mawasiliano haya
upload_2018-5-16_11-39-40.png
 
Back
Top Bottom