monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,313
Hapa ndipo nnapoona Hawa wana forex ni waoga na wanafki wanawatukana wasio husika wakati the bold anakuja kuwakejeli hapaSawa Mkuu umeeleweka taarifa umezitoa vizuri jinsi ya Kumkamata huyo The Bold,Kweli umewakamata Mazwazwa,Endeleeni kuwafanyia huo upuuzi mambwiga,Nimetoa ushauri tu kama Ontario hapatikani mshitakiwa namba mbili aunganishwe kwenye kesi,kama Clients wenu mliowapiga hawataki kuwakamata basi ni kheri kwenu.
CC: LAKI si pesa ona mnavyokejeliwa daaaaa