Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Jana nilikuwa naangalia Taarifa ya Habari nikakutana na Habari kwamba kuna Shule moja ys Secondari huko kanda ya Ziwa inaitwa Lake Wanafunzi na Walimu Wanakunya na Kukojoa Vichakani kwa Ukosefu wa Vyoo: Nikakumbuka Kuna Mpango wa Kuwafanya Wakazi wa Dar Es Salaam Waendeshe Magari juu kwa juu yaani wawe wanapasua Anga za Manzese nk kuelekea Posta na Vimotokaa vyao.
Hii Kali Wakati wengine wanajisaidia Vichakani, wengine wanapita hewani na Magari in ze sem sem Kantri
Hii Kali Wakati wengine wanajisaidia Vichakani, wengine wanapita hewani na Magari in ze sem sem Kantri