Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,111
- 790
Kelly,
Kwanza pole kwa maswahibu. Hii ndo Bongo karibu sana.
Reading all these post nimegundua watu wengi hamkai hapa TZ you do not know it guys. Things here are NDIVYO SIVYO. System nzima imeharibika BIG TIME so Kelly kuna wanaosema ungekomaa lakini i dont see it kwanza ulikuwa na haraka nk nk. So swala ni kubwa than many of us here tunavyofikiri. Sie tulieko huku tunajua.
Ila kuna kitu mimi sijakielewa kwenye siganture yako pale chini. Can it be translated labda au ndo ushamba wangu.
"I am the baddest Bitch!....... "
Kwanza pole kwa maswahibu. Hii ndo Bongo karibu sana.
Reading all these post nimegundua watu wengi hamkai hapa TZ you do not know it guys. Things here are NDIVYO SIVYO. System nzima imeharibika BIG TIME so Kelly kuna wanaosema ungekomaa lakini i dont see it kwanza ulikuwa na haraka nk nk. So swala ni kubwa than many of us here tunavyofikiri. Sie tulieko huku tunajua.
Ila kuna kitu mimi sijakielewa kwenye siganture yako pale chini. Can it be translated labda au ndo ushamba wangu.
"I am the baddest Bitch!....... "