Online Tv

ampojoter4

Member
Jul 19, 2015
12
4
Wadau naomba kufaham japo kwa uchache kuhusu uanzishwaji wa online tv ambayo labda kwa kuanzia itafanya kazi Dar es salaam tu! Nifaham kuhusu vibali vya TCRA, gharama za camera, mic na nyenzo nyingne!
Asanteni
 
Ndo napanga mzee
Tcra huko usiwaze sana kabla ya KAZI. Kodi huanza kulipwa pale unapoanza kuona mafanikio.

Kama kuna madhui yanayoigusa Serikali ndiyo itakuwa balaaa. Ila kwa sasa tafuta vifaa anza KAZI, maana wengi huishia njiani na ndio HIVYO na kodi ishalambwa na Serikali Mkuu.

Ingia mzigoni.

Kuhusu vifaa (ungesema uko mkoa gani)
Itakuwa nafuu kukishauri.

Mfano: kama uko Dar Unaweza fanya windows shopping kariakoo ila uwe makini na bidhaa maana kuna vitu kama mic hapo usisite kufungua mfuko, vinginevyo utaambulia low quality brand ya mchina.

Vifaa pia unaweza agiza mtandao kupitia e-commerce website za www.ebay.com, www.alibaba.com, www.aliexpress.com nk.

Unahitajika uwe na vifaa vya kuanzia:
1. Camera nzuri budget ni kama 900k
2. Laptop pc yenye specifications alau 4gb ram, 1terabite, 2.5 processors Intel core i5 5gen na ikiwa na dedicated graphics card ya 1gb ni faida zaidi.
3. Tripods stand
4. Lights
5. Mic utachagua mfuko wako ila kama una studio condenser microphone ni nzuri kampuni ziko nyingi sana na kama ni out door boom mic itakufaa pia.
6. Background unaweza tafuta greenscreen
7. Adobe premiere na Photoshop inakuhitaji uwe na maarifa nayo
8. Chumba au geto unalipa uwezo wa kuwa studio.

*****
Badget yako itakufanya uanze na kipi kwani sio lazima kuanza na vifaa vyote hivyo.

Piga kazi na ujue usingizi kwako utakuwa ni mama mkwe.

Nikutakie kila la heri Mkuu.

Mengine watakuongezea na utayafahamu Kwenye field huko huko
 
Tcra huko usiwaze sana kabla ya KAZI. Kodi huanza kulipwa pale unapoanza kuona mafanikio.

Kama kuna madhui yanayoigusa Serikali ndiyo itakuwa balaaa. Ila kwa sasa tafuta vifaa anza KAZI, maana wengi huishia njiani na ndio HIVYO na kodi ishalambwa na Serikali Mkuu.

Ingia mzigoni.

Kuhusu vifaa (ungesema uko mkoa gani)
Itakuwa nafuu kukishauri.

Mfano: kama uko Dar Unaweza fanya windows shopping kariakoo ila uwe makini na bidhaa maana kuna vitu kama mic hapo usisite kufungua mfuko, vinginevyo utaambulia low quality brand ya mchina.

Vifaa pia unaweza agiza mtandao kupitia e-commerce website za www.ebay.com, www.alibaba.com, www.aliexpress.com nk.

Unahitajika uwe na vifaa vya kuanzia:
1. Camera nzuri budget ni kama 900k
2. Laptop pc yenye specifications alau 4gb ram, 1terabite, 2.5 processors Intel core i5 5gen na ikiwa na dedicated graphics card ya 1gb ni faida zaidi.
3. Tripods stand
4. Lights
5. Mic utachagua mfuko wako ila kama una studio condenser microphone ni nzuri kampuni ziko nyingi sana na kama ni out door boom mic itakufaa pia.
6. Background unaweza tafuta greenscreen
7. Adobe premiere na Photoshop inakuhitaji uwe na maarifa nayo
8. Chumba au geto unalipa uwezo wa kuwa studio.

*****
Badget yako itakufanya uanze na kipi kwani sio lazima kuanza na vifaa vyote hivyo.

Piga kazi na ujue usingizi kwako utakuwa ni mama mkwe.

Nikutakie kila la heri Mkuu.

Mengine watakuongezea na utayafahamu Kwenye field huko huko
Vinaweza kugharimu bei gani hivi vyote ama full set
 
Tcra huko usiwaze sana kabla ya KAZI. Kodi huanza kulipwa pale unapoanza kuona mafanikio.

Kama kuna madhui yanayoigusa Serikali ndiyo itakuwa balaaa. Ila kwa sasa tafuta vifaa anza KAZI, maana wengi huishia njiani na ndio HIVYO na kodi ishalambwa na Serikali Mkuu.

Ingia mzigoni.

Kuhusu vifaa (ungesema uko mkoa gani)
Itakuwa nafuu kukishauri.

Mfano: kama uko Dar Unaweza fanya windows shopping kariakoo ila uwe makini na bidhaa maana kuna vitu kama mic hapo usisite kufungua mfuko, vinginevyo utaambulia low quality brand ya mchina.

Vifaa pia unaweza agiza mtandao kupitia e-commerce website za www.ebay.com, www.alibaba.com, www.aliexpress.com nk.

Unahitajika uwe na vifaa vya kuanzia:
1. Camera nzuri budget ni kama 900k
2. Laptop pc yenye specifications alau 4gb ram, 1terabite, 2.5 processors Intel core i5 5gen na ikiwa na dedicated graphics card ya 1gb ni faida zaidi.
3. Tripods stand
4. Lights
5. Mic utachagua mfuko wako ila kama una studio condenser microphone ni nzuri kampuni ziko nyingi sana na kama ni out door boom mic itakufaa pia.
6. Background unaweza tafuta greenscreen
7. Adobe premiere na Photoshop inakuhitaji uwe na maarifa nayo
8. Chumba au geto unalipa uwezo wa kuwa studio.

*****
Badget yako itakufanya uanze na kipi kwani sio lazima kuanza na vifaa vyote hivyo.

Piga kazi na ujue usingizi kwako utakuwa ni mama mkwe.

Nikutakie kila la heri Mkuu.

Mengine watakuongezea na utayafahamu Kwenye field huko huko

Nipo Dar, asante sana
 
Tcra huko usiwaze sana kabla ya KAZI. Kodi huanza kulipwa pale unapoanza kuona mafanikio.

Kama kuna madhui yanayoigusa Serikali ndiyo itakuwa balaaa. Ila kwa sasa tafuta vifaa anza KAZI, maana wengi huishia njiani na ndio HIVYO na kodi ishalambwa na Serikali Mkuu.

Ingia mzigoni.

Kuhusu vifaa (ungesema uko mkoa gani)
Itakuwa nafuu kukishauri.

Mfano: kama uko Dar Unaweza fanya windows shopping kariakoo ila uwe makini na bidhaa maana kuna vitu kama mic hapo usisite kufungua mfuko, vinginevyo utaambulia low quality brand ya mchina.

Vifaa pia unaweza agiza mtandao kupitia e-commerce website za www.ebay.com, www.alibaba.com, www.aliexpress.com nk.

Unahitajika uwe na vifaa vya kuanzia:
1. Camera nzuri budget ni kama 900k
2. Laptop pc yenye specifications alau 4gb ram, 1terabite, 2.5 processors Intel core i5 5gen na ikiwa na dedicated graphics card ya 1gb ni faida zaidi.
3. Tripods stand
4. Lights
5. Mic utachagua mfuko wako ila kama una studio condenser microphone ni nzuri kampuni ziko nyingi sana na kama ni out door boom mic itakufaa pia.
6. Background unaweza tafuta greenscreen
7. Adobe premiere na Photoshop inakuhitaji uwe na maarifa nayo
8. Chumba au geto unalipa uwezo wa kuwa studio.

*****
Badget yako itakufanya uanze na kipi kwani sio lazima kuanza na vifaa vyote hivyo.

Piga kazi na ujue usingizi kwako utakuwa ni mama mkwe.

Nikutakie kila la heri Mkuu.

Mengine watakuongezea na utayafahamu Kwenye field huko huko

Kiukweli hii imejotosheleza sana na imekuwaya msaada mkubwa kwangu
 
Tcra huko usiwaze sana kabla ya KAZI. Kodi huanza kulipwa pale unapoanza kuona mafanikio.

Kama kuna madhui yanayoigusa Serikali ndiyo itakuwa balaaa. Ila kwa sasa tafuta vifaa anza KAZI, maana wengi huishia njiani na ndio HIVYO na kodi ishalambwa na Serikali Mkuu.

Ingia mzigoni.

Kuhusu vifaa (ungesema uko mkoa gani)
Itakuwa nafuu kukishauri.

Mfano: kama uko Dar Unaweza fanya windows shopping kariakoo ila uwe makini na bidhaa maana kuna vitu kama mic hapo usisite kufungua mfuko, vinginevyo utaambulia low quality brand ya mchina.

Vifaa pia unaweza agiza mtandao kupitia e-commerce website za www.ebay.com, www.alibaba.com, www.aliexpress.com nk.

Unahitajika uwe na vifaa vya kuanzia:
1. Camera nzuri budget ni kama 900k
2. Laptop pc yenye specifications alau 4gb ram, 1terabite, 2.5 processors Intel core i5 5gen na ikiwa na dedicated graphics card ya 1gb ni faida zaidi.
3. Tripods stand
4. Lights
5. Mic utachagua mfuko wako ila kama una studio condenser microphone ni nzuri kampuni ziko nyingi sana na kama ni out door boom mic itakufaa pia.
6. Background unaweza tafuta greenscreen
7. Adobe premiere na Photoshop inakuhitaji uwe na maarifa nayo
8. Chumba au geto unalipa uwezo wa kuwa studio.

*****
Badget yako itakufanya uanze na kipi kwani sio lazima kuanza na vifaa vyote hivyo.

Piga kazi na ujue usingizi kwako utakuwa ni mama mkwe.

Nikutakie kila la heri Mkuu.

Mengine watakuongezea na utayafahamu Kwenye field huko huko

Naomba uniorodheshee vifaa vya studio ya kurekodi music na budget nzima ya vifaa pekee ikiwa na set up itapendeza zaidi...!

Natanguliza shukran.
 
Back
Top Bottom