Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,530
- 93,108
Ni uwamuzi wa busara kuongeza posho ili wabunge wasiwe ombaomba, by Shibuda.kwa kweli kwa hili posho ni shaka na wabunge wote unless aje mmoja ambaye atagomea kabisa hili ongezeko sihitaji longolongo ooh zijui zipite mfuko wa mbunge mara zitumikaje aahh hapa swala no posho tu