The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Serikali ndio ya kwanza kuvunja sheria hii.....per diem tu inaweza kuwa kwenye kundi la kutokukatwa kodi, lakini allowance ya kukaa inapaswa kukatwa kodi...sheria iko wazi kabisa wala haina mjadala....sheria ya kodi ya mapato inataka hata ukipewa zawadi na ofisi na ikawa na kiwango fulani cha gharama basi lazima kiwango hicho kiingizwe kwenye kipato chako na kikatwe kodi....
Wenzetu huko duniani wamepiga hatua kweli kwenye masuala ya kodi. Mfano Uholanzi hata ukienda kununua wanawake wanaojiuza pale red light street, inabidi ulilipie VAT ya 6%, na kiwango hiki cha 6% kinatozwa kwenye bidhaa na huduma za kisanii (art work and services).....sisi tumeshindwa allowance za kukalisha ****** na kujambajamba pale bungeni? Ndio maana Malawi wamefanya kujamba kuwa kosa la jinai kabisa..........ukijamba unapigwa fine au jela moja kwa moja...
Kama unachukua fedha serikalini, unatia kibindoni, haikatwi kodi, unataka serikali iendelee kuwa na fedha kutokea wapi sasa......kama ikitoka inaingia mifukoni mwa watu yote...ushenzi mtupu huu
Wenzetu huko duniani wamepiga hatua kweli kwenye masuala ya kodi. Mfano Uholanzi hata ukienda kununua wanawake wanaojiuza pale red light street, inabidi ulilipie VAT ya 6%, na kiwango hiki cha 6% kinatozwa kwenye bidhaa na huduma za kisanii (art work and services).....sisi tumeshindwa allowance za kukalisha ****** na kujambajamba pale bungeni? Ndio maana Malawi wamefanya kujamba kuwa kosa la jinai kabisa..........ukijamba unapigwa fine au jela moja kwa moja...
Kama unachukua fedha serikalini, unatia kibindoni, haikatwi kodi, unataka serikali iendelee kuwa na fedha kutokea wapi sasa......kama ikitoka inaingia mifukoni mwa watu yote...ushenzi mtupu huu