Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,237
- 12,989
Serikali na Bunge imeonekana mna nia kabisa na ili dubwasha la DP World mliendeleze bila kujali wananchi wanasemaje!
Basi mimi nawaomba kwa dhati kabisa Rais Samia Suluhu uondoe kinga ya kutoshtakiwa kuanzia kwako mpaka kwa wasaidizi wako na spika wa bunge na Jaji Mkuu wote wawajibike.
Hata kama walishatoka madaraani kwa makosa yenu ambayo mlisababisha Taifa eidha kupata hasara au kupolwa chochote.
ilo tu.
Basi mimi nawaomba kwa dhati kabisa Rais Samia Suluhu uondoe kinga ya kutoshtakiwa kuanzia kwako mpaka kwa wasaidizi wako na spika wa bunge na Jaji Mkuu wote wawajibike.
Hata kama walishatoka madaraani kwa makosa yenu ambayo mlisababisha Taifa eidha kupata hasara au kupolwa chochote.
ilo tu.