Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Hivi kwenye hii nchi ni yeboyebo tu ama? Hii inanikumbusha wilaya moja kuna shule wanafunzi hawaruhusiwi kuvaa viatu mpaka wakati wa sikukuu. Na hivi kiongozi unasimama uanacheka na kuutubia watu? Mi badala ya kuhutubia ningeangusha kilio mbaya kabisa