On the Brink: What is troubling Tanzanian Economy?

Matatizo ya uchumi wetu yanatokana na kutotumia raslimali zetu kwa faida yetu, kutegemea misaada toka nje kuleta maendeleo yetu, kukopi mipango ya kiuchumi toka nje badala ya kubuni mipango yetu ya kiuchumi, na kukaribisha wawekezaji kuwekeza kwetu badala ya sisi wenyewe.

Tukiyaacha yote hayo na badala yake tukabuni mipango yetu ya kiuchumi kwa kutumia raslimali zetu uchumi wetu utanyenyuka ndani ya miaka miwili tu.
 
Sumu ya Mafisadi wa JK ndio wanaleta sokomoko zote hizi. Hivi kweli Watanzania tumeridhika na hawa vimburu?
 
Mzee Mwanakijiji,

If opposition wil seize the moment and focus on economy of Tanzania and its poor performance as achilles heel of CCM, they can bring the revolution we want.

Sadly, last year elections were focused and driven by ufisadi, which is mere 5% of our economy.

We have a government that believe in spending and providing free ride to every Tom, Dick and Harry.

Rather than focusing in improving our production and built our economy using local resources, we are seeking help from foreign investements in which we provide the investors with 5 year amnesty of taxes and duty and we are not even auditing what the investor is producing.

Just last week, Kikwete came back and claim Kilimo is the way and to add salt in injury he was quoted by local media stating this
"Wangu ni uongozi usiokuwa na muda wa kupoteza. Nina haraka. Sina muda
tena wakusubiri.
Tunahitaji kuongeza kasi ya mapambano ya kuwatoa
wakulima wetu katika umasikini. Watu wetu wameishi katikaumasikini kwa
miaka mingi kupita kiasi. Watu wetu wameteseka sana," Rais Kikwete
alisema juzi

Basically, there is no sense of urgency from Kikwete or CCM. They have shifted their focus (which is an indication of lack of ability!) to kujivua gamba and infight about Magamba, Ufisadi and all other crap while the reality is that we are at a brink of collapsing.

What Zitto has spoken in Mbeya, is reality. And no one should turn the blind eye. The CCM government is begging and pressing the donor countries to fulfill and commit the obligations of filling up our bakuli!

That is reality and it is all to do with incompetence leadership of CCM and not Global Financial crisis, rains or whatever!
 
Mdondoaji;

Mkuu naungana na wewe hapo kwenye bold- Watu hawalipi kodi maana hawaoni umuhimu wake. Ulipe kodi wakati mchango wake hauonekani inakatisha tamaa.

Ukiona hapa Dar miundombinu mibovu utafikiri siyo jiji. Barabara (traffic) muda mwingi tunapoteza barabarani badala ya kuwa makazini tunafanya kazi; mfumo wa maji taka- mvua ikinyesha; maji safi; umeme ambao ni muhimu katika uzalishaji ni kero kubwa na ufumbuzi wake haujafikirika vichwani mwa viongozi wetu.

Tunaishi tu ili mradi siku ziende, vipa umbele vimeandikwa kwenye vitabu/budgets tu lakini havifanyiwi kazi. Siku ya siku inaonekana tuna mipango mizuri lakini utekelezaji wake ni zero. Tatizo ukuliza unawezaambiwa serikari haina pesa wakati ukiangalia matumizi yake yasiyokuwa na maana yanakela.

Corruption & Irresponsible leaders- Tunaona hapa kila siku watu wanaibia taifa na hawachukuliwi hatua.

Mikataba mibovu hiyo usiseme. Kwa mapato ya nchi kama tanzania yalivyo kidogo kila kiongozi akijichotea usitegemee kubakia na kitu kwenye mfuko wa serikali.

Tutaendelea kukopa mpaka nchi itafilisiwa ikiwezekana kama siyo kukataliwa kukopeshwa tena kwa sababu ya credit mbovu ya serikali yetu ya Tanzania kushindwa kulipa madeni.

Mfumo wa elimu yetu nalo ni tatizo. Wengi wanamaliza shule wanakuwa wa kutafuta kazi na hata waliyoko makazini hawana huruka ya kuanzisha personal ventures na kutoa ajira kwa wengine.

Innovation ni issue tunategemea kuajiliwa tu, badala ya ku-create ajira. Hivyo pato kwa serikali na watu vinakuwa matatani.

Watu wengi ni wavivu hawafanyi kazi na wanataka maisha mazuri. Tunapenda sana starehe badala ya kufanya kazi. Kama hufanyi kazi na unapenda maisha mazuri- short cut ni kuiba/rushwa ambayo gharama yake ni kubwa katika uchumi wa nchi. Utashangaa mtu mshahara wake kidogo lakini maisha anayoishi usipime - anatoa wapi pesa? Usiniulize.

Kuna mtu hapa alishauliza mshahara wa viongozi wetu lakini watu wengi walipinga juu ya hilo kuwa ni personal life wakati kwa wenzetu hiki ni kitu cha kawaida kabisa viongozi kuanika vipato vyao.

Hata CEOs wa public companies wengine wanaanika mishahara yao. Hapa bongo kwani nini hili haliwezekani? Unalo jibu.

Hatuwawajibishi viongozi wetu kwa upupu tunaona kila siku ndiyo maana wamelemaa na kutojifikilisha ni kipi kifanyike kukuza uchumi wa nchi hii.

Kama mtu ana uhakika wa kuendelea kukalia kiti alicho nacho unadhani ataangaika kutatua matatizo ya nchi? Anafikilia atoke vipi kimaisha na wala si kuwajibika na kufanya yampasayo kutatua matatizo ya nchi yake.

Angali nchi zote zilizoendelea kama kuna upuuzi kama wa kwetu hapa Tanzania ambao viongozi hawajui jinsi ya kutatua matatizo yao.

Watu wanajua wajibu wao kwa mataifa yao na hivyo wanawalazimisha na viongozi wao kuwa wawajibikaji. Wanawashikishwa Adabu. Hapa kwetu ni kufuata ushabiki tu wa siasa za vyama hatuwawajibishi viongozi wetu. Hili litaendelea kula kwetu mpaka pale tu tutakapojuwa tunataka nini katika nchi yetu, na ni jinsi gani tunaweza kufika pale tunapotaka kufikia.
 
CCM teteeni policies zenu za house girls na house boys; Uchumi wenu ni Umaskini wetu
Malengo ya ccm yanasema hivi

"CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo"
Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCM

Miaka nenda rudi Tanzania imeongezeka kwa umaskini na kuendelea kuwa nyuma kielimu, sekta ya afya na kiuchumi. Viongozi wa serikali ya Tanzania kwa miaka 50 sasa wanafanya nini, tunachokifahamu ni kwamba familia za ccm ndizo zinazofanikiwa. Hizi ndizo policies za kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya uchumi na wanachotaka wananchi wengi waendelee kuwa mahouse girls na house boys ili familia zao wasome kwenye vyuo na shule nzuri, wafungue biashara za kifisadi na waishi maisha ya kifahari.

Uchambuzi wa uchumi wa Tanzania tunaweza kusummarize hivi, ni madeni ya IMF, World Bank na Donors. Hebu tuwaulize Mkullo na Ndulu, Tanzania inatumia kiasi gani cha mamilioni kwa matumizi ya serikali peke yake? Tanzania inakopa mamilioni kiasi gani kila fiscal year? Vitu vya kuuliza ni hivi?
1. Revolution ya kilimo imekwenda wapi?
2. Business empowerment and skills imeuliwa na nani?
3. Where are strategies for economic expansion?

"No more chances for ccm in Tanzania"

Tuangalie Resources za Tanzania zilizoharibiwa na kuzalauliwa na ccm:


Economy - overview:
Tanzania is one of the world's poorest economies in terms of per capita income, however, Tanzania average 7% GDP growth per year between 2000 and 2008 on strong gold production and tourism (where're funds?). The economy depends heavily on agriculture, which accounts for more than 40% of GDP, provides 85% of exports, and employs about 80% of the work force. The World Bank, the IMF, and bilateral donors have provided funds to rehabilitate Tanzania's aging economic infrastructure, including rail and port infrastructure that are important trade links for inland countries. Recent banking reforms have helped increase private-sector growth and investment, and the government has increased spending on agriculture to 7% of its budget. Continued donor assistance and solid macroeconomic policies supported a positive growth rate, despite the world recession. In 2008, Tanzania received the world's largest Millennium Challenge Compact grant, worth $698 million. Dar es Salaam used fiscal stimulus and loosened monetary policy to ease the impact of the global recession. GDP growth in 2009-10 was a respectable 6% per year due to high gold prices and increased production.

Industries:
agricultural processing (sugar, beer, cigarettes, sisal twine); diamond, gold, and iron mining, salt, soda ash; cement, oil refining, shoes, apparel, wood products, fertilizer

Natural gas - production (wanazotuibia mafisadi):
560.7 million cu m (2008 est.)

Electricity - production:
3.786 billion kWh (2007 est.)
country comparison to the world: 120

https://www.cia.gov/library/publicat...k/geos/tz.html
 
Hata hao donors wamechoka na kuombaomba kwa serikali ya Tanzania na wanatupa ushahuri fix your own problems. Wanachukua mikopo tele na kuiba kwa kasi ili wawe matajiri. Watanzania tunafikiri utajiri wa mtoto wa fisadi kikwete unatoka wapi kama sio kwenye mikopo ya donors na kodi ya watanzania? Mkullo na Ndulu do you guys care, tupeni docs zetu...

IMF Representative Urges Tanzania to Cut Borrowing, Citizen Says
By David Malingha Doya - May 5, 2011 4:15 AM CT
The International Monetary Fund urged Tanzania to reduce borrowing for recurrent expenditure, The Citizen reported, citing the IMF's country representative, John Wakeman-Linn.

Tanzania's 2010/2011 budget is 11.9 trillion shillings ($7.9 billion), of which 6 trillion shillings came from internal revenue and the rest from domestic and external loans and grants, the Dar es Salaam-based newspaper said. About 7.3 trillion shillings is allocated to recurrent expenditure, while 4.6 trillion shillings is for investment.

For the past five years, Tanzania has increasingly borrowed to finance recurrent expenditure while tax revenue has stagnated, The Citizen cited Wakeman-Linn as saying.

The national debt rose by $1.6 billion to $11.2 billion in the year through February, according to Bank of Tanzania monthly Economic Review for March.
IMF Representative Urges Tanzania to Cut Borrowing, Citizen Says - Bloomberg
http://www.bloomberg.com/news/2011-05-05/imf-representative-urges-tanzania-to-cut-borrowing-citizen-says.html
 
Ukweli unabaki palepale swala la leadership kwenye ku-create policies za aina yeyote ile zinawapa shida jk na ccm. Miaka 50 imepita na tunaona bado wana-dance kwenye dimbwi lile lile la ujama na hawataki kuonyesha policies gani wanataka kuzifuata. Several times nimewasikia hawa wasimamizi wa chama cha ccm wakidai tunataka free market at the same time hawatoi strategies za kufanya free market policies kufanya kazi i.e. unatakaje ku-invite investors Tanzania wakati system au program ya kutoa business licenses inafanyika mlango wa nyuma na hakuna njia maalumu au transparency ya hii system? Ukienda nchi zozote zile zinazoweka jitihada kujenga local economy jambo la kwanza wana-root out corruption systems zote. Hatuwezi kuwa na free market bila kuwa na constitution yenye nguvu - check and balance: ofisi ya raisi, mahakama na bunge. Tanzania haitaweza kufikia true free market system kwa kukosa au kuwa-weak kuwalinda consumers, serikali ya wananchi na hata foreign investors. Hakuna true investors ambaye anataka kuja nchi isiyoweza kupambana na corruption, tunaowaona Tanzania wanasema ni investors ni hao hao wakina Mkapa, Lowassa, kikwete, Chenge kwa kutumia vivuli na mgamba ya wa-south africa na wa-oman. Haya majaribio ya uchumi Tanzania yataendelea mpaka watanzania wa elimike na kuwafukuza ccm, hii inawezekana kuwa na assumption kwamba ccm wanataka watanzania wasipate elimu nzuri na kufunguka macho na zaidi wanataka huko mikoani na wilayani wasipate internet wakaelimika - this is death to ccm. We are in deep hole...

"Kifupi ni kwamba sijawahi kuona serikali yeyote au uchumi wa nchi ukanyanyuka kwa serikali kuwa mwajiri mkubwa other than private sectors"
 
Kwa hiyo inawezekana kuna tatizo kubwa zaidi la uchumi wetu kuliko tunavyoweza kuambiwa? Ni kwa kiasi gani spending ya serikali inahusiana na tatizo hili?
 
Lakini kwanini watu wanaingalia serikali badala ya soko?
Tunatumia 1b$ a year kununua mafuta,serikali ingetakiwa ije na plans za kupunguza matumizi ya mafuta kwa 25% in 5 years just to supress the demand and reduce inflation.
 
Dalili mbaya za kudorora kiuchumi zilionekana tangu mwanzoni mwa utawala wa JK.

Aliteua mawaziri wengi (zaidi ya 60) na makatibu wakuu hata wawili wawili kwenye wizara nyingine.

Pili, JK aliteua watendaji kwa kigezo cha urafiki na sio uwezo.

Tatu, serikali ya JK imekuwa ni ya maneno mengi, matendo kidogo. Hakuna utekelezaji mzuri wa kazi.

Nne, JK amekuwa akipandisha mishahara bila kujua fedha zitatoka wapi. Na baya kuliko yote, ufisadi umeshamiri. Hakuna kitu kinaua uchumi haraka zaidi ya hicho.

It is poor governance that is killing us. Mengine yote ni visingizio vya Waswahili tu.
 
Lakini kwanini watu wanaingalia serikali badala ya soko?

Serikali inapokopa kwenye benki za biashara inaleta crowding effect. Kunatokea uhaba wa hela kwa ajili ya uwekezaji kwa private sector.

Ingekuwa sawa kama hii hela serikali ingeenda kuwekeza katika miradi, kwani pesa ingezaa. Shida ni pale hiyo pesa inapoenda kugharimia re-current expenditure, yaani mafuta ya ma-STK, stationery, safari, mishahara etc. Hapa pesa inaenda kufa, siyo kuzaa.

Lakini kibaya zaidi ni kwamba baadaye, hizi benki zitataka hela zake zirudishwe. Serikali kwa sababu haina ela, itabidi ichapishe hela mpya, ambapo sasa mfumuko wa bei kwa kwenda mbele utawadhia.

Hii ndiyo ilitokea Ugiriki na Portugal na kulazimisha Ujerumani kuilipia serikali za nchi hizo madeni yake ili Euro ipone.
 
Serikali inapokopa kwenye benki za biashara inaleta crowding effect. Kunatokea uhaba wa hela kwa ajili ya uwekezaji kwa private sector.

Ingekuwa sawa kama hii hela serikali ingeenda kuwekeza katika miradi, kwani pesa ingezaa. Shida ni pale hiyo pesa inapoenda kugharimia re-current expenditure, yaani mafuta ya ma-STK, stationery, safari, mishahara etc. Hapa pesa inaenda kufa, siyo kuzaa.

Lakini kibaya zaidi ni kwamba baadaye, hizi benki zitataka hela zake zirudishwe. Serikali kwa sababu haina ela, itabidi ichapishe hela mpya, ambapo sasa mfumuko wa bei kwa kwenda mbele utawadhia.

Hii ndiyo ilitokea Ugiriki na Portugal na kulazimisha Ujerumani kuilipia serikali za nchi hizo madeni yake ili Euro ipone.

Hapana najiuliza.. kama haikopi kutoka kwenye mabenki (kama inavyodaiwa) serikali itapata wapi fedha kulipa entitlements?
 
Hapana najiuliza.. kama haikopi kutoka kwenye mabenki (kama inavyodaiwa) serikali itapata wapi fedha kulipa entitlements?

Kukopa per se siyo dhambi. Miaka ya 50 wamarekani walikopa sana kujenga mtandao wao wa barabara. Lakini inapendeza sana pale serikali inapopata mapato yake (hasa ya kujikimu), kupitia kodi.

Simaanishi kuwa sasa serikali iende ikaongeze kodi, kwani hiyo ni mbaya kama kukopa mabenki. Serikali inaweza ikaongeza kodi kwa kufanya yafuatayo;

1. Weka mazingira ya ku-attract FDI. FDI huwezesha miradi mikubwa ambayo uwezo wetu haufiki. Mfano, mtaji wa kujenga mgodi mmoja unaweza kufikia Dollar billionij moja. Utazitowa benki gani pesa kama hiyo hapa TZ?

Kwa muda mrefu sana TZ tumekuwa tukitoa picha ambayo haiko consistent. Tunaalika FDI, wakija tunawachenjia

2. Makali ya sheria ya TRA yapunguzwe. Uwezo wa TRA ku-block account ya kampuni hufanya wengi kuweka hela zao nje. Hizi hela zingekuwa hapa nchini, zingetumika katika uwekezaji

3. Serikali ipunguze matumizi. Iachane na magari ya kifahari na ipunguze ukubwa wake.

4. In the long term: serikali ifumue kabisa mfumo wa elimu. Ni bora turudi Cambridge system - hii ya sasa inazalisha nguvu kazi isiyo tayari kukabiliana na mfumo wa uchumi tandawazi (hawaajiriki, hawana uwezo wa kutunga sera zinazofaa, hawawezi ku-negotiate mikataba migumu, hawana uwezo wa kuendesha mashirika nk)
 
I have not taken enough time to study or read about the Tanzania economy but few days ago I have been asked to have a look ya ripoti mbalimbali na hasa hali ya kiuchumi. Well..almost everybody is mentioning things in apocalyptic language.. things like "doomed, collapse, disaster"..

So is there anybody who knows and can shade light on the state of our economy? What is going on and is there any reason whatsoever to be concerned at all?

... just last week IMF CAUTIONED the government to refrain from such heavy as it is, INTERNAL borrowing to finance wanton expenditure. That act alone is confirmed by rising inflation amidst what we are seeing globally as rising costs in such commodities as fuel and food. Worst still, Tanzanian government is borrowing heavily to finance recurrent expenditure. That is weary!
 
Kichosumbua uchumi wetu ni:-
1. Deni la Taifa - Serikali ilianza kukopa tangu uhuru 1961 na mikopo mingi on interest..kwasasa taifa lina deni kubwa kutokana na compound interest..(principal taken ni ndogo kuliko interest generated). uhuru wetu umeshaanza kuingiliwana wakopaji IMF WB...kuna anayongolea hilo kisiasa NO. Options za kutoka hapo ni kujiunga OIC (interest free society)

2. Matumizi makubwa ya serikali - Tunakula tusicho kivuna, tuna serikali kubwa sana ki-muundo, mawaziri, makatibu wakuu nk. na malipo mengi na masurufu mengi yanahitaji bila uzalishaji. Options za kutoka hapo " katiba mpya kubadilisha muundo wa serikali"

3. Constant inefficient on goverment - system ya serikali kuanzia serikali kuu na local ni uzembe, ubadirifu, ujeuri na ujinga, watumishi wengi ni walafi na wazembe, mbaya zaidi wabinafsi na wezi. Options za kutoka hapo "Vunja serikali weka serikali za kidikteta kwa muda maalum na mission maalum ili kubadili tabia za watu hatimaye kujenga nidhamu ya matumiz ya serikali.
 
What we need is a strong Government, leaders with vision na kubwa zaidi viongozi wanaochukia rushwa kwa dhati ambao wenyewe hawapokei rushwa na watazuia kwa nguvu zao zote rushwa katika jamii yetu... kwa waliofanikiwa walianzia hapa na mengine yanajipanga yenyewe katika mstari.
 
1 .. We are facing a very serious FOOD SHORTAGE as a country, although the issue is still being politicised by POLITICIANS!

2 .. We are facing a very serious RAIN SHORTAGE,...

3 .. Number 1 depends on Number 2 and the Economy of our Country depends on both...

Ni kweli baba Enock.....Hali ni mbaya sana.....halafu kibaya zaidi psychologically watu wanameathirika sana......wanasema mwaka huu lazima una hali ngumu sana kiuchumi (ukizingatia 50% of the economy is psychology)...... hivyo hata watu wenye pesa katika akiba zao hawazitumii........matokeo yake........mzunguko wa pesa unakuwa mdogo... hatimaye uchumi kudumaa......
 
Back
Top Bottom