Hizi media za Tanzania nazo ni sehemu ya tatizo tu.....huu unafiki na uovu kumpa muuaji kama Mwigulu jukwaa la kendeleza dhihaka dhidi ya Tanzania na raia wake.
I'm gutted to be Tanzanian. I'm ashamed to be Tanzanian.
Mwigulu ni mtu hatari sana kama amani ya nchi hii itatoweka bac huyu jamaa atakuwa chanzo
Lets wait...tuone kama AMG imekuwa jukwaa la kampeni baada ya kufungwa muda wa kampeniMjulishe kwamba KAMPENI za uchaguzi zimeshafungwa na haziruhusiwi tena kwa uchaguzi wa madiwani Arusha.
Waambie Chanel Ten kwamba endepo wata mpa nafasi ya kuzungumzia uchaguzi Arusha wakati kampeni zimesha katazwa ni kinyume na sheria za uchaguzi. Hivyo nao watakuwa wamevunja sheria. Kwa maana kwamba upande utakao athirika na mazungumzo kwenye hicho kipindi una haki ya kuchukua hatua za kisheria.
Ni tahadhari tu. Maana kwa jinsi hali ilivyo, Mwigulu Nchemba anaonekana ndio Raisi wa JMT kwa wakati huu ambapo tuliye mchagua yupo busy na mikutano, kusafiri, na kupokea wageni.
kura ishapigwa tayari; nec bingwa kuchakachua ; a town bangi nyingi
Kampeni arusha zimeisha,swali la tindikali lipo mahakamani,swala la bomu polisi wanafanya upelelezi,sasa haoni kwamba anavunja utaratibu..huyu goon wala hata siwezi kumsikiliza.
Inataka moyo kutenga mda na kumsikiliza uyu jamaa
Ni rahisi sana kupanda mbegu za chuki; lakini, ni ngumu sana kuziondoa mbegu hizi kwenye jamii. Wakati umefika kwa Watanzania wote, wanaoitakia nchi hii mema, kupinga siasa zinazofanywa na Mwigulu Nchemba. Siasa hizi ni za muda mfupi na hazitusaidii kujenga nchi yetu. Nani anayempa uhuru wa kuingilia jambo linalochunguzwa na vyombo vya dola? Kama anajua ni chama cha siasa kilichousika na hilo bomu, jee ameshaisaidia Polisi?
[h=2]Hanipha Musri
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali[/h]Mwenyekiti wa CCM Wilaya mpya ya Gairo Bwana Omary Awadhi, amemwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Gairo. Kwa mujibu wa mwenyekiti huyo tukio hilo lilitokea usiku wa manane baada ya watu wasiojulikana kumgongea na kumwamsha.
Hata hivyo anasema aligoma kufungua mlango bali alifungua kioo cha dirisha la chumbani kwake. Watu hao walimuonya kutohudhuria kikao ambacho yeye ni mhusika alipokataa, ndipo ghafla akahisi kumwagiwa kitu usoni kilichomletea maumivu makali sana.
Aliwahi kunawa maji lakini hali bado ni tete.Muda huu yupo safarini anakimbizwa Dar kwa matibabu zaidi baada ya uso wake kuharibika.
GAIRO
Nashukuru kwa taarifa mkuu Taswira.
Nafatilia...