Ombwe la Uongozi Tanzania: Nchi Imeyumba na iko Hatarini!

Huyu jamaa ni grat thinker na hapa an prove theory yake mpya kuwa hakuna haja ya kuwa na wakuu wa wilaya kwani ukiwa na mkuu mmoja wa jimbo kama ilivyo kwa mikoa isiyo na wakuu wa mikoa mkuu wa jimbo mmoja anatosha tuliona lindi na dar,(jimbo la dar); morogoro, iringa (jibo la ruaha), tanga, kilimanjaro, arusha na manyara (jimbo la kaskazini) ehee inawezekana hivyo mkuu wa jimbo atasaidiwa na mkuu mmoja wa mkoa kama halima alivyo kusimamia wilaya zote na ya mkoa. Hii imekaa vizuri sana anatekeleza sera za majimbo ila amekosea formula ya cdm kwamba hawa wanachaguliwa na wananchi wa jimbo husika
nawasilisha
 
suala posho hupaswi KUMLAUM kikwete.bado liko liko kwa wate
ndaj ndo mana makinda ametofauttiana.haya uloyasema hayamhusu jk peke ake but jamii kwa ujumla.acha uchochezi.jk yuko smart na wakuu wilaya tamisemi imeachiwa kuratibu mchakato wa kiutawala ikiwemo mipaka na uongozi wa ngaz za chini hususan kata,vijiji na vitongoj.acha uchochez

yule ndo baba mwenye nyumba,we jiulize makosa anafanya mwingine ktt wizara lakn anajiuzuru waziri uska,MKULU ANAPASWA AWE STRONG
 
Ndugu yangu kwa upande wa posho si umemsikia spika wako makinda amekwambia maisha yamepanda kwa wabunge yaan inflation rate ya wabunge na wananchi wa kawaida ni tofauti,sisi tusubiri 2015 ndipo tutoe hukumu ndugu yangu.(watz tunatakiwa 2siogope kufanya maamuzi magumu):lol:
 
Wapendwa wanajamii


Hakika, 2015 Watanzania tuamke tufanye maamuzi mazito kwa mustakabali wa Taifa letu!
Naona umebwabwaja vya kutosha, 2015 Kikwete hatagombea urais kwa mujibu wakatiba iliyopo kama tatizo lako ni Kikwete.
 
Back
Top Bottom