Igwe nilikuwa namtakia kila la heri tu maana kama ningeafiki ningemPM, sijampotezea dear........
unataka kumuacha huyo uliemsema hafiki sijui wapi?
sawa sawa!
sasa kubadilishana mawazo ndo hadi kuonana? na ungebadilisha mawazo hapahapa ungepata wigo mpana zaidi kuliko kuji-confine na jf-ke moja tu! ni mtizamo tu. wknd njema
Si kwamba namuacha. nataka na mi kujichanganya kwenye jamii
Igwe nilikuwa namtakia kila la heri tu maana kama ningeafiki ningemPM, sijampotezea dear........
iyo avatar tuu nikimbie mie daaaaaaahMi sio kibaka mbona.
Mkuu na wewe umeniruka tena.
iyo avatar tuu nikimbie mie daaaaaaah
Igwe nilikuwa namtakia kila la heri tu maana kama ningeafiki ningemPM, sijampotezea dear........
Usikate tamaa siku ya leo bado ndefu kuna kesho utafanikiwa tu na nakushauri ukimpata ukae nae for w/ends zote.
da. ama kweli la kuvunda halina ubani
kaka chagua warembo ka wa 3 ivi.. Ingawa hatujui kama kweli watakua ni wa dada.. Afu wewe ndo uwa inbox.. Lazma m1 atarespond +vly.
aanze na wewekaka chagua warembo ka wa 3 ivi.. Ingawa hatujui kama kweli watakua ni wa dada.. Afu wewe ndo uwa inbox.. Lazma m1 atarespond +vly.
kaka chagua warembo ka wa 3 ivi.. Ingawa hatujui kama kweli watakua ni wa dada.. Afu wewe ndo uwa inbox.. Lazma m1 atarespond +vly.
aanze na wewe[/QUOTE]
KWANI DATA NI 'SHE'MSIJE TOANA MENO HAPA
duh....hata mimi mawazo yangu yamevurugika kweli....nahitaji wa kumbadilishia....upo wapi......?