George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Ndugu Wana JF,
Katika kupitia sera za Chadema wakati wa uchaguzi mkuu mojawapo ilikuwa kutoa elimu bure kuanzia awali hadi high school na sera hiyo ilikuwa mwiba mchungu kwa wana ccm,
Hivyo nilikuwa nataka kutoa pendekezo kwa wabunge wetu wa chadema, pamoja na kutambua hali mbaya ya wananchi wengi na ugumu wa maisha, wabunge na viongozi mbalimbali wameendelea kupokea mishahara na malupulupu mengi, na ukizingatia Dr Slaa aliwahi kuwasilisha hoja binafsi ya kupunguza malupulupu na mishahara ya wabunge na kupata strong resistance kutoka kwa wabunge wa ccm,
Ni kwa nini hivi sasa Chadema isipitishe azimio kwa kukubaliana na wabunge wote kuwa atleast 20% ya mishahara na allowance zikatwe na kuwekeza kwenye EDUCATION TRUST FUND YA JIMBO husika na pesa hiyo isaidie kusomesha watoto angalau 10 kwa kila jimbo, hiyo itakuwa ni smart thing to do politicaly, kwani CCM wanaweza kuendelea kutupiga mbao kama walivyofanya kwenye kampeni kwa nini Dr Slaa hakuamua kukataa posho ama kuzi direct kwa watoto yatima? to me it makes sense bila ubishi, hivyo lazima tuoneshe kwa matando sasa na wananchi watatuamini kuwa ni chama cha waungwana.
Natambua kuna baadhi ya wabunge tayali wanafanya hivyo lakini ilitakiwa kuwa ni msimamo wa wabunge wote na ni kitu rasmi cha chama.
Sio lazima tusubiri mpaka tuchukue dola, tunaweza kuanza ku make difference on people's life kwa kidogo tulichonacho na watanzania ni watu wema sana hakika watatuongezea tulipotoa, I strongly advocate for this MBUNGE EDUCATION TRUST FUND kwa kuanzia kukatwa percentage ya mishahara na malupulupu, ambayo kwa kweli hayaendani na wananchi maskini tunajitahidi kuwapigania,
Nadhani wapiganaji wote tunaamini kuwa uongozi ni wito wa kuwatumikia wananchi bila manung'uniko sasa tunaomba sana wabunge wetu kwa nia njema hebu onyesheni leadership kwa kuwarudishia wananchi angalau hicho kidogo kwani bila wao kukupigia kura na kulinda kura basi usingeweza kupata huo mshahara mnono na marupurupu bwelele!
"We need to walk the walk and not talk the talk"
Katika kupitia sera za Chadema wakati wa uchaguzi mkuu mojawapo ilikuwa kutoa elimu bure kuanzia awali hadi high school na sera hiyo ilikuwa mwiba mchungu kwa wana ccm,
Hivyo nilikuwa nataka kutoa pendekezo kwa wabunge wetu wa chadema, pamoja na kutambua hali mbaya ya wananchi wengi na ugumu wa maisha, wabunge na viongozi mbalimbali wameendelea kupokea mishahara na malupulupu mengi, na ukizingatia Dr Slaa aliwahi kuwasilisha hoja binafsi ya kupunguza malupulupu na mishahara ya wabunge na kupata strong resistance kutoka kwa wabunge wa ccm,
Ni kwa nini hivi sasa Chadema isipitishe azimio kwa kukubaliana na wabunge wote kuwa atleast 20% ya mishahara na allowance zikatwe na kuwekeza kwenye EDUCATION TRUST FUND YA JIMBO husika na pesa hiyo isaidie kusomesha watoto angalau 10 kwa kila jimbo, hiyo itakuwa ni smart thing to do politicaly, kwani CCM wanaweza kuendelea kutupiga mbao kama walivyofanya kwenye kampeni kwa nini Dr Slaa hakuamua kukataa posho ama kuzi direct kwa watoto yatima? to me it makes sense bila ubishi, hivyo lazima tuoneshe kwa matando sasa na wananchi watatuamini kuwa ni chama cha waungwana.
Natambua kuna baadhi ya wabunge tayali wanafanya hivyo lakini ilitakiwa kuwa ni msimamo wa wabunge wote na ni kitu rasmi cha chama.
Sio lazima tusubiri mpaka tuchukue dola, tunaweza kuanza ku make difference on people's life kwa kidogo tulichonacho na watanzania ni watu wema sana hakika watatuongezea tulipotoa, I strongly advocate for this MBUNGE EDUCATION TRUST FUND kwa kuanzia kukatwa percentage ya mishahara na malupulupu, ambayo kwa kweli hayaendani na wananchi maskini tunajitahidi kuwapigania,
Nadhani wapiganaji wote tunaamini kuwa uongozi ni wito wa kuwatumikia wananchi bila manung'uniko sasa tunaomba sana wabunge wetu kwa nia njema hebu onyesheni leadership kwa kuwarudishia wananchi angalau hicho kidogo kwani bila wao kukupigia kura na kulinda kura basi usingeweza kupata huo mshahara mnono na marupurupu bwelele!
"We need to walk the walk and not talk the talk"