Mchaga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,378
- 204
Wakuu naomba kuwasilisha kwenu hoja yangu ya kuomba tuanzishe thread maalumu ya kujadili na kuchambua Katiba yetu wakati tukianza mchakato wa kuwa na Katiba Mpya.
Nadhani itakuwa vyema kwa sababu zifuatazo:
1. Kuwasadia Kamati iliyoteuliwa kupata maoni kupitia Mitandao ya Jamuu na JF ni mojawapo (tusidharau nguvu ya hizi new media)
2. Kwa kupitia JF wengi watakuwa huru kuweka maoni yao
3. Baadhi ya wajumbe wa katiba mpya ni wanachama hapa hivyo itasaidia sana kuwapa mawazo na michango mbalimbali ya namna bora ya kukamilisha kazi hii
4. Kupitia JF na sisi wananchama tulio mbali tutaweza kuwakilisha mawazo yetu japo itakuwa si katika vikao rasmi lakini baadhi ya mawazo yanaweza kuchukuliwa na kuwasilishwa katika vikao rasmi
Namuomba Moderator na wadau wengine waone kama itakuwa vyema kuwa na wazo hili na kulifanyia kazi au kuboresha namna bora zaidi ya kuwa na special thread.
Naomba kuwasilisha kwenu.
Asante.
Nadhani itakuwa vyema kwa sababu zifuatazo:
1. Kuwasadia Kamati iliyoteuliwa kupata maoni kupitia Mitandao ya Jamuu na JF ni mojawapo (tusidharau nguvu ya hizi new media)
2. Kwa kupitia JF wengi watakuwa huru kuweka maoni yao
3. Baadhi ya wajumbe wa katiba mpya ni wanachama hapa hivyo itasaidia sana kuwapa mawazo na michango mbalimbali ya namna bora ya kukamilisha kazi hii
4. Kupitia JF na sisi wananchama tulio mbali tutaweza kuwakilisha mawazo yetu japo itakuwa si katika vikao rasmi lakini baadhi ya mawazo yanaweza kuchukuliwa na kuwasilishwa katika vikao rasmi
Namuomba Moderator na wadau wengine waone kama itakuwa vyema kuwa na wazo hili na kulifanyia kazi au kuboresha namna bora zaidi ya kuwa na special thread.
Naomba kuwasilisha kwenu.
Asante.