Kwa kuanzia nafikiri hii thread yako ungebandika kule kwy technology majibu yangeishaanza kutiririka lakini pili kama umeweza kujua hiyo teminology ''bbm'' basi tayali una uelewa kwa kiasi flan.
Funguka sasa into details ueleweke na kupatiwa ufafanuzi wa kina ni kipi hasa unachotaka kujua/kufaham.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.