Ombi la kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 juu ya sakata la Tanganyika kuuzwa kwa DP World

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,411
41,342
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
7A57C440-7D57-4A5A-96B3-D81DCC25E28A.jpeg
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Nikujibu tu bila hata kusoma yote uliyoandika huko chini.

Unamdhalilisha sana mama yako kwa kumlinganisha. Sina shaka kwa busara zake asingeweza kufanya mambo kama haya.
Mama yako hajawahi kuwa fisadi hata siku moja. Hata kuwahujumu tu waTanzania wenzake wazo kama hilo halijawahi kumfikia akilini mwake.
Nisichojua kuhusu mama yako, je na yeye anao wajomba huko nje, ambao pengine angependa kuwafurahisha, na kuwaonyesha madaraka makubwa aliyonayo ya kuamua vitu vinavyohusu raia zake wote bila hata ya kuwauliza?

Kwa hiyo, acha kulinganisha na hawa watu walioamua, kwa maksudi kabisa kuwa wahaini kwa nchi yao.
 
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.

Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!

Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.

Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Hakuna anayemchukia mama Samia.
Alianza vizuri sana kwa kuanza kusahihisha madudu ya Magufuli.
Sote tulipumua kwa furaha kuwa jinamizi la ukandamizi sasa limepotelea mbali.

Kwa kauli na vitendo mama Samia alitufurahisha.

Tatizo kubwa ni kutokuwa makini, mifano ipo mingi ila hili suala la DP World limemuumbua vibaya.

Ninaweza kusema 100% kuwa hiyo mikataba hakuisoma.
Hapo ndio nakuwa na wasiwasi na Taasisi ya Urais ambamo Usalama wa Taifa wamo, Katibu Mkuu Kiongozi yumo, na hata kwa pembeni Mwanasheria Mkuu yupo.
Hayo madudu hayakuoekanaje?
Na hapo ndo nadiriki kusema tuna laiszes faire, uswahili mwingi huko juu kiuongozi.

Kwa makosa tuliyoyaona kulaumiwa ni lazima, lakini busara ni kuyasahihisha!
 
Page zote zina sahihi yake kwa chini
Mkuu hapa kuna kitu zaidi ya uwekezaji.
Ukubali ukatae kuna maslahi mapana ya dini za watu.
Watu wanataka kujihakikishia ngome kwa wingi wa imani yao ili wawe na sauti na mamlaka kamili ya kumweka yeyote wamtakao kwa maslahi ya vizazi vyao.

Injinia wa haya yote ni RA na Msoga one.
Hakuna sitiri itakayositiririka daima.
Kwa kufanya hivyo utashangaa Prince Msoga anakuwa head of state mnabaki midomo wazi.

Shtukeni mapema tunapelekwa siko...ikimbukwe hao niliowataja hata sio watu wa dini kivile idipokuwa wanawatumia waumini wenzao walala hoi kwa maslahi ya kizazi chao.
 
Hakuna anayemchukia mama Samia.
Alianza vizuri sana kwa kuanza kusahihisha madudu ya Magufuli.
Sote tulipumua kwa furaha kuwa jinamizi la ukandamizi sasa limepotelea mbali.

Kwa kauli na vitendo mama Samia alitufurahisha.

Tatizo kubwa ni kutokuwa makini, mifano ipo mingi ila hili suala la DP World limemuumbua vibaya.

Ninaweza kusema 100% kuwa hiyo mikataba hakuisoma.
Hapo ndio nakuwa na wasiwasi na Taasisi ya Urais ambamo Usalama wa Tsifa wamo, Katibu Mkuu Kiongozi yumo, na hata kwa pembeni Mwanasheria Mkuu yupo.
Hayo madudu hayskuoekanaje?
Na hspo ndo nadiriki kusema tuna laiszes faire, uswahili mwingi huko juu kiuongozi.

Kwa makosa tuliyoyaona kulaumiwa ni lazima, lakini busara ni kuyasahihisha!
Hayo madudu sio kuwa hayakuonekana, ni makusudi wafikie malengo yao...mafisadi yanayoizunguka meza ya rais...RA na Msoga
 
Mkuu hapa kuna kitu zaidi ya uwekezaji.
Ukubali ukatae kuna maslahi mapana ya dini za watu.
Watu wanataka kujihakikishia ngome kwa wingi wa imani yao ili wawe na sauti na mamlaka kamili ya kumweka yeyote wamtakao kwa maslahi ya vizazi vyao.

Injinia wa haya yote ni RA na Msoga one.
Hakuna sitiri itakayositiririka daima.
Kwa kufanya hivyo utashangaa Prince Msoga anakuwa head of state mnabaki midomo wazi.

Shtukeni mapema tunapelekwa siko...ikimbukwe hao niliowataja hata sio watu wa dini kivile idipokuwa wanawatumia waumini wenzao walala hoi kwa maslahi ya kizazi chao.
Wanaounga mkono Ni dini Ile ile, akina Malecela mwalimu alimupiga chini alivyokwenda uharabuni na kugeuza dini hili apate pesa ya kugombea uraisi. Watu Kama judge warioba wanatoa point za maana sana. Lakini watu masikio hayasikii sijui Kuna nini
 
Wanaounga mkono Ni dini Ile ile, akina Malecela mwalimu alimupiga chini alivyokwenda uharabuni na kugeuza dini hili apate pesa ya kugombea uraisi. Watu Kama judge warioba wanatoa point za maana sana. Lakini watu masikio hayasikii sijui Kuna nini

Mlafi yuko kama fisi ambayw hufia mzogani.
Malecela ni kituko guyo mzee...
 
Tumemgusa baasha wako?
MPelekee akakushughulikie.
Huyo ndiye mtesi wa nchi kwasasa.
Mama anapelekeshwa tu na huyo fisadi na muuaji.

Damu ya Magu haitamwacha salama
Narudia, ningelishangaa kama MAKALIO YENU yasingemhitaji jk. Yaani nyie washamba a.k.a failures a.k.a wanyonge a.k.a mburura a.k.a maskini mmeaminishwa kila tatizo lenu ni jk........mnafirimbwa vibaya kweli nyie wakati mwingine!!
 
Mkuu hapa kuna kitu zaidi ya uwekezaji.
Ukubali ukatae kuna maslahi mapana ya dini za watu.
Watu wanataka kujihakikishia ngome kwa wingi wa imani yao ili wawe na sauti na mamlaka kamili ya kumweka yeyote wamtakao kwa maslahi ya vizazi vyao.

Injinia wa haya yote ni RA na Msoga one.
Hakuna sitiri itakayositiririka daima.
Kwa kufanya hivyo utashangaa Prince Msoga anakuwa head of state mnabaki midomo wazi.

Shtukeni mapema tunapelekwa siko...ikimbukwe hao niliowataja hata sio watu wa dini kivile idipokuwa wanawatumia waumini wenzao walala hoi kwa maslahi ya kizazi chao.
Oh, kumbe ni kweli kelele hizi chache ni kutoka kwa wenye chuki za dini.......wajinga waliokaririshwa ujinga fulani hivi. Enzi zimepira, tunataka maendeleo
 
Ninaweza kusema 100% kuwa hiyo mikataba hakuisoma.
Hapo ndio nakuwa na wasiwasi na Taasisi ya Urais ambamo Usalama wa Tsifa wamo, Katibu Mkuu Kiongozi yumo, na hata kwa pembeni Mwanasheria Mkuu yupo.
hata sijui unataka uambiwe mara ngapi, na kwa namna gani ili uache kuhamishia lawma kwa watu wengine na kuacha mhusika mwenyewe!

Wewe hata huoni maandalizi aliyofanya yeye mwenyewe kwa kazi aliyotaka kuitimiza?

Hao washauri, akina Mbarawa, Katibu Mkuu wa wizara, n.k., wewe unadhani waliwekwa kwenye nafasi hizo kwa bahati mbaya?

Kama hakusoma "100% kama unavyodai wewe; kama anajua anao udhaifu huo wa kutokuwa makini na kusoma hiyo mikataba, si hapo udhaifu huo ndio ungemfanya ateue watu makini kwenye nafasi husika ili waisome hiyo mikataba na kumpa taarifa kamili?

Mkuu 'Jidu', usidhani ninakukomalia kwa jambo lililo dogo hapa. Huyu siyo mtu wa kumkingia kifua kwa njia yoyote ile.

Huyu ni mtu anayelihujumu taifa letu kwa maksudi mazima kabisa.
 
Back
Top Bottom