FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,411
- 41,342
Imefika wakati najiuliza, hivi angekuwa ndio Mama yangu anapigwa spana namna hii non- stop ningejisikiaje? Nimejikuta namuonea huruma tu huyu mama, maana anaweza kuwa mama yangu mzazi kabisa.
Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!
Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.
Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?
Imefika wakati najiuliza, is she being ‘black mailed’?, kwamba she has no choice? Au amekuwa -threatened usalama wake endapo ataenda kinyume na matakwa yao? Sijui na sina hakika, ila nawaza sana, huyu mama yetu anafaidika na kipi kikubwa hasa katika hili? Kama ni hongo, mbona angeweza kukwapua tu tozo za miamala kwa muda wa mwezi mmoja na zingemtosha kuishi kama malkia maisha yake yote? Kulikuwa na haja gani ya kutufanyia hivi waTanganyika? Hivi ilikuwa ni lazima kutuuza?!
Natoa ombi kwa WaTanganyika wote, kusitisha mashambulizi kwa muda wa masaa 72 ili kumpa mama yetu nafasi ya kujitathmini.
Maana imefika wakati anaongea kama anataka kulia, kuna nini nyuma ya pazia?