magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
Ndugu zangu wa TANESCO na Wizara yenye dhamana ya Nishati nchini leo ni Ufunguzi wa Mashindano ya AFL yanayozinduliwa hapa kwetu Tanzania. Ninyi wote mnaohusika ni wenzetu na tunaishi nanyi mitaani.
Nawaomba kwa heshima na taadhima, waachieni Watanzania wenzenu Umeme Kwa siku ya leo. Leo ni siku muhimu sana kwa wapenda michezo nchini.
Fanyeni kila muwezalo kuhakikisha leo umeme haukatiki. Leo ni siku ya mtoko kwa taifa zima. Najua wakubwa wote mnapita huku!
Nawaomba sana TANESCO tuachieni Umeme.
Nawaomba kwa heshima na taadhima, waachieni Watanzania wenzenu Umeme Kwa siku ya leo. Leo ni siku muhimu sana kwa wapenda michezo nchini.
Fanyeni kila muwezalo kuhakikisha leo umeme haukatiki. Leo ni siku ya mtoko kwa taifa zima. Najua wakubwa wote mnapita huku!
Nawaomba sana TANESCO tuachieni Umeme.