watani zangu masharubu acheni kupiga mayowe Asprin, kichenchele, stroke, Kakalende, Safari_ni_Safari, Abdulhalim na Kigogo ngoja wayaone wenyewe. Kombe la kuku jana mlitoka ngapi ngapi na lamba lamba Azam
Ngoja niwajibie, Jana tulitoa sare ya goli moja moja, na wewe naomba utusaidie kutafuta ukweli wa hili, inaeleweka kabisa Yanga hawana timu B, hawa mliowapeleka Zanzibar wakacheza mechi moja wakapigwa tatu na kesho kufukuzwa na uongozi wa ZFA mliwaokoteza wapi?