Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
matatizo la viongozi wetu ukishateuliwa unachukua ndugu na jamaa zako wawe wasaidizi wako. kulikuwa na ugumu gani kuwapa pesa mahakama wakalipie hayo matangazo. who is the isuing authority? nasikia kama kawa mahakama imekaa usiku. Lawyers hv isue ya resonable hrs imekaaje?