kombati
Member
- Oct 1, 2011
- 38
- 9
raisi kikwete amesahau kuwa alkwenda kufungua jengo la ofisi ya spika urambo tabora kwa samweli sitta, akabariki jamaa apigwe chini, sasa lile jengo alilolifungua wameamua kufanyia shughulu gani pamoja na ukweli kuwa kuna milioni kama mia tatu za walipa kodi zilipigwa katika ujenzi wa jengo la spika urambo, tabora.