Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,661
- 948
"Dk Thomas Kashililah alipoulizwa kuhusu taarifa hizo alisema hawezi kuzungumzia jambo hilo kwa sababu siyo msemaji wa wabunge, bali Ofisi ya Bunge" Kama dk. kashilila alisema yeye si msemaji wa bunge kwa nini leo hii ajifanye ni msemaji wa bunge? Kwa mtazamo wangu Dr. Kashilila kasomeshwa na Nape kubadilisha ukweli kuwa uwongo na uwongo kuwa ukweli. kwa vyovyote vile posho ya wabunge imepandishwa, chukua maneno yangu!